Kumbe kuzeeka sio kua na hekima?
Kumbe Kuna waliobaki analogue, washamba na bado hawana habari.
Eti uko marekani?
New Orleans ama little Haiti?
Wewe upo pepo ya magurubasi.
😂🤣
Tumia hekma unapojibishana na watoto wa Rika langu, greencard ya kuenda marekani ni kuanzia October 5th Hadi November 7th. Hio ya miezi mbili ni Ile marekani umejitengenezea mwenyewe Kijiji kwenyu kigoma 🤣😂
Wajinga ndio waliwao...
Kila kitu Sasa ni digital. Wakutapeliwa na atapeliwe. Lakini Hilo halikua swala haswa, swala ni kuhusu makachero kufuata hadithi na mienendo ya mshiriki
Boss, wacha uongo zako mingi mingi mingi, hakuna makachero watakao tumwa kijijini kwa uchungizi, hakuna FBI watachunguza mienendo yako ukishinda green card, so, wacha kuweka watu uoga bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.