Kisukari kina tiba na dawa zake... Kama u dont take seriously hapo ndio inakua tatizo.. Lakini ukipata dawa sahihi nakufuata masharti yake unaweza kuishi miaka mingi bila matatizo yoyote.. Ushauri wangu wapeleke wazazi clinic ya kisukari ili wapate dawa itakae wasaidia kuendana na stage ya...
Its is certainly not a must!!! The language any president that campaigns, is that of their native country and definatly not english!!!! Which means english is NOT a prerequisite to making it to presidatial office.. Nor sikuwah kusikia any rule or law that says a president should speak english...
Tuache propaganda zisizokua na sababu... Living aside siasa.. Hyo familia ndio inasaidia sana iringa kimaendeleo!!!! Hayo malori na shamba viwanda vyote kaajiri wana iringa kama angekua adui basi angenyima watu wairinga fadhila za kuwapa kaZi nakutaka kuiendeleza. Hakikisha umefanya research...
Sio vema and not fair ku Generalize "waarabu" kwa kosa la mtu mmoja...kila mtu ameumbwa tafauti jus because hyo mmoja kakosa haimaanishi wote wapo hvyo!!@
Jus because anauliza kuhus chadema and hamtaki kujibu ndio inamhusu nini.. Common guys.. watu wapo kwenye kampeni meaning wanting votes.. Ili mwananchi achague chama sahihi ana full rights za kuuliza not jus for the fellow citizens but hata kwake.. Ukimuuliza inamhusu nn hujamjibu rather...
Kwa whats going on in social medias.. Watu washakua divided tunahitaji maombi sanaa... Tanzania yetu inajulikanika na inasifika kwa umoja na amani... Siasa isiwe sababu ya division kati ya wananchii.. May the Almighty protect tanzania and its people
AMEEN...
Issue sio kuisambaratisha ukawa issue hamtaki LOWASSA.. Kama alivosema lipumba nikinyume na walivokua wakiamni kama wana ukawa.. Kukubaliwa kwa lowassa is jus contradicting what they "HAD" said before
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.