Recent content by loveleen

  1. L

    Tangazo: Kupotelewa kwa Hati ya kusafiria (International Passport)

    Howt Lady ahsante na hili ni mojawapo ya tangazo
  2. L

    Tangazo: Kupotelewa kwa Hati ya kusafiria (International Passport)

    Salaams wapendwa ndugu yangu anayefahamika kwa jina "SALMA MUSSA KAPILIMA" Amepotelewa na International Passport yenye namba (AB 611234) pamoja na kitambulisho cha kupigia kura kilichotolewa tar 22/7/2015 Ivo basi tar 23/7/2015 akapoteza International Passport pamoja na kitambulisho...
  3. L

    Eight signs of Fake Friends

    Absolutely dear!!!!!!
  4. L

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    nawashauri muende kwenye ofisi zao za tcu labda mtapata suluhu
  5. L

    Msaada wa nacte application kwa mtu wa diploma

    Kama vp nenda ofisini kwao tcu!!!!!!!
  6. L

    Airtel vifurushi vya OMG ni wizi wa Mchana kweupe

    gb30 kwa siku 3 si mchezo naomba maelekezo jinsi ya kujiunga kwa tigo na Airtel tafadhali
  7. L

    Airtel vifurushi vya OMG ni wizi wa Mchana kweupe

    naomba kufahamishwa jinsi ya kujiunga tafadhali
  8. L

    Doctors; Ndugu yangu anableed mwezi wa tatu(3) mfululizo

    Umejieleza vyema sana ndugu,Kama ni interview tayari umepita,hongera kwa kujua kuwakilisha/kuwasilisha mada ngoja Doctor's waje,mpe pole jaman MUNGU ATUNUSURU kwa maradhi
  9. L

    Msaada wa kudownload video's instagram

    Kwanza hongera umejieleza vizuri saana na picha juu,nategemea hutoulizwa lolote zaidi ya maelekezo tu,by the way ata mimi nina tatizo kama lako yaani mpaka leo nashindwa kudownload izo video Instagram,utakuta nimeona video nikaipenda japo nime download izo Application kama...
  10. L

    Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

    ahsante sana mamy nimejifunza mengi kupitia ushauri wako.....ubarikiwe sana
  11. L

    Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

    mke wake yuko bomba tamaa zake tu.....lulu sijui ana jini mahaba alitaki awe na mwanaume maana kila mwanaume anaedate nae lazma arest in peace
  12. L

    Kanye West aanzisha Biblia yake, ajiita Mungu

    hahahahaaa..... nimeipenda hii comment yako
  13. L

    Kanye West aanzisha Biblia yake, ajiita Mungu

    sijaiona cha ajabu hapo......!!
  14. L

    Wema Sepetu: Sina uwezo wa kuzaa

    so sad.....Omg!!!!!
Back
Top Bottom