Recent content by Lovehate

  1. Lovehate

    Je, ni sahihi kuomba uchangiwe mahari?

    Huwa mnafanyaje katika hali kama hii. Uwezo wa kuhudumia mke na mtoto mmoja upo lakini ukisema usubiri ujichange hadi uwe na mahari inayotakiwa ni parefu. (1,000,000) Je ni sahihi kuomba uchangiwe mahari??? Si inaweza kuwa mwanzo wa dharau mahari uchangiwe utaweza kutunza mke na mtoto. (watu...
  2. Lovehate

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Taa hata wewe unaweza kufunga mimi nilichukua hiyo picha nikamfuta fundi na vipimo vyangu na jinsi nataka iwe
  3. Lovehate

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Wakati nausoma huu uzi nilikuwa home sina chochote ila kazi nafanya (mishemishe) nikasema sio mbaya nikatoka nyumba kubwa nikaenda chumba cha nje nikaanza kuishi kama gheto hapo akili inawaza kulijaza kweli bhana sasa nina kila kinachotakiwa gheto na ni vya kwangu huu mwaka nawekeza kodi na...
  4. Lovehate

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Cheza kama kujifurahisha
  5. Lovehate

    Mjinga ni mimi ila ni funzo kubwa sana kwangu

    Kupata au kukosa kwangu mimi vyote vina maana sawa hilo halijawahi kuwa tatizo katika kunikosesha ama kuniletea furaha. Naamini furaha ni uamuzi wangu ama niseme furaha ni kitu ninachokimiliki kwa hiyo kazi yangu ni kuamua tu mda gani nifurahi. MJINGA MIMI ILA NI FUNZO KUBWA SANA KWANGU Rafiki...
  6. Lovehate

    Nani kati ya vijana hawa wawili anadumaa kiakili?

    Kijana wa 25+ anaekaa nyumbani na kijana ambaye anajitegemea lakini anazaa watoto wanalelewa na wazazi wake nani anadumaa kiakili?
  7. Lovehate

    Nimetapeliwa - meridian bet

    Sijataharuki usimsemee mtu , nipo iringa nisaidie pa kwenda
  8. Lovehate

    Nimetapeliwa - meridian bet

    Asante kwa huo ushauri
  9. Lovehate

    Nimetapeliwa - meridian bet

    Wala sijataharuki ofisi niende wapi nilibet online
  10. Lovehate

    Nimetapeliwa - meridian bet

    Asante sana kesho nitaenda ofisini voda maana kwenye simu wameniambia niwacheki meridian nisipoelewana nao ndio niende polisi
  11. Lovehate

    Nimetapeliwa - meridian bet

    Sikujua kama naweza shitakiwa ila nawapigia simu wananikatia
  12. Lovehate

    Nimetapeliwa - meridian bet

    Asante kwa ushauri
  13. Lovehate

    Nimetapeliwa - meridian bet

    Nianzie voda polisi meridian au bodi ya michezo
  14. Lovehate

    Nimetapeliwa - meridian bet

    Nashangaa hela ni ndogo na kabla sijawahi fanyiwa longolongo kila ninapo withdraw
  15. Lovehate

    Nimetapeliwa - meridian bet

    NIMETAPELIWA NA MERIDIAN BET - NIFANYAJE ? ? ? Jumapili nimechagua mechi zangu kama tisa, nikazichambua weeee nikaamua kuweka (stake) 1900/= Mara paaap baada ya kuliwa sana jana ikawa zamu yangu kuwala nikashinda 184,000/= Nikaingia kwenye account yangu ya meridian bet nika withdraw pesa kama...
Back
Top Bottom