Lovehate
Member
- Apr 26, 2018
- 52
- 75
NIMETAPELIWA NA MERIDIAN BET - NIFANYAJE ? ? ?
Jumapili nimechagua mechi zangu kama tisa, nikazichambua weeee nikaamua kuweka (stake) 1900/=
Mara paaap baada ya kuliwa sana jana ikawa zamu yangu kuwala nikashinda 184,000/=
Nikaingia kwenye account yangu ya meridian bet nika withdraw pesa kama taratibu zilivyo na ni vilevile kama nikifanikiwa kushinda bet.
Ikaja sms ya mpesa umepokea 140,000/= na kwenye mpesa yangu ilibaki 500 hivyo salio kuu likasoma 140,500.
Imefika mda nataka kununua salio kwa mpesa naambiwa huna salio kiwango cha pesa ulichotumiwa kimerudishwa.
Nimebaki na masononeko tu sijui kama polisi nitasaidiwa au nitapoteza hela zingine
Niambien hatua za kufuata customer care ya meridian wananikatia simu.
Aliyewahi pata changamoto kama yangu alifanya nini kupata haki yake.
Jumapili nimechagua mechi zangu kama tisa, nikazichambua weeee nikaamua kuweka (stake) 1900/=
Mara paaap baada ya kuliwa sana jana ikawa zamu yangu kuwala nikashinda 184,000/=
Nikaingia kwenye account yangu ya meridian bet nika withdraw pesa kama taratibu zilivyo na ni vilevile kama nikifanikiwa kushinda bet.
Ikaja sms ya mpesa umepokea 140,000/= na kwenye mpesa yangu ilibaki 500 hivyo salio kuu likasoma 140,500.
Imefika mda nataka kununua salio kwa mpesa naambiwa huna salio kiwango cha pesa ulichotumiwa kimerudishwa.
Nimebaki na masononeko tu sijui kama polisi nitasaidiwa au nitapoteza hela zingine
Niambien hatua za kufuata customer care ya meridian wananikatia simu.
Aliyewahi pata changamoto kama yangu alifanya nini kupata haki yake.