Recent content by Lovebird

  1. Lovebird

    Zanzibar imepiga marufuku uuzaji pombe Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

    Ni utaratibu wao wa muda mrefu. Mwenye kiu ya kilevi ongea vizuri na wenyejii
  2. Lovebird

    Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

    Alisikika akiongea mnywa pombe mmoja alipokuwa akikaribia kulewa:ABDULpls:
  3. Lovebird

    Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Itapendeza zaidi bendera ya JF ikiwa nusu mlingoti
  4. Lovebird

    Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Taharukii wimbi zitoo zitooo ..... uchaguzi upite tuu
  5. Lovebird

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Duh, ikawa asubuhi ikawa jioni siku ya kwanza ...... siku ya pili .... siku ya 90
  6. Lovebird

    Kwanini Ufugaji wa Nguruwe Unaweza Kuwa Utajiri Mkubwa?

    Anayetajirika haraka ni yule anaechukua - chinja na ondoa kichwa, miguu na mapupu kisha kuviuza kwa bei tofauti na makubaliano ya awali na mfugaji Ka huamini tembelea machinjio ya k-moto ndo utaona mnyororo wa thamani ulipo
  7. Lovebird

    Kuna tabia gani ulikuwa nayo ila umejikuta tu haufanyi tena

    Kujitekenya na kucheka mwenyewe
  8. Lovebird

    Aina mbalimbali za nuksi na visababishi vyake

    Nuksi ya uzinzii siku ikikufumaaa hutorudia tenaa utakuwa mwaminifu kwa uloko nae
  9. Lovebird

    Siri iliyopo katika Miguu yako na Ulimwengu wako wa Roho

    Nijuavyo kucha za mikononi na miguuni zimebeba taarifa ya mwenendo mkubwa wa afya ya mwili wakoo Zichunguze kwa makini
  10. Lovebird

    Naomba CV ya Abdul mtoto wa Rais Samia

    Classified over weight, underweight or low Or Kukoroma usiku usiku sana -- ni tatizooo
  11. Lovebird

    PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Dah ivi kati ya amani na haki kipi kinatangulia?
Back
Top Bottom