Daa ...inaonyesha uliipenda sana chadema ..umeumizwaaa saana kufukuzwa ...kila kukicha CHadema chadema ...wote watu wazima tuna akili za kuchangua right or wrong ..Get over it !!!
Ahh nini kuuana Kisa nyama imechinjwa na nani ? Waweka vibao mabutchani ..ipi halal ipi sio mtucachague yaishe . Kunaishu muhimu za kufanya kujenga taifa letu zaidi ya nyama kachinja nani . Siku zote hizo ilikuaje ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.