Ungetuwekea ma ka clip kafupi ka kusaport taarifa.
Hata hivyo kwa wahindi, waarabu ni kawaida, kufanya matambiko kabla ya kazi,
Humwaga mchele, ulezi, kupasua nazi, au kumwaga chumvi za mawe.
Aisee pole sana, watu wa namna hiyo kuendelea wakiwa wenyewe au ukiwa nao ni ndoto!
Wao wanaishi kuvuta pumzi ya Mungu tuu.
Ili ufanikishe jambo lako, ni vyema uongeze mtaji kwa kutumia watu wa mbali, wanaojua maana ya kazi.
Nyoosha maelezo bwana wee!
Police wamekuna kukagua vyoo kama nani??
Kwenye ofisi ya kata hakuna kitengo cha afya na ukaguzi wa mazingira??
Police walipofika walisema wamekuja kufanya nini?
Nyumba ya aina gani hiyo mpaka muwe na matundu zaidi ya moja ya choo??
Nakushauri ulizia vizuri chanzo cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.