Hatujawahi kua na kiongozi mkubwa mzuri,kwahiyo kwa watanzania siku zote tunaangalia nani ni less evil ,as long as CCM kila siku itakua bora Nyerere, bora Mwinyi,bora Mkapa,bora sokoine,now mjadala kati ya Magu na Samuya nani kateka watu wengi zaidi....
Ndio huwa nashangaa,hoja ilitakiwa kua Elimu kama chombo cha ukombozi wa fikra,elimu bora(kwa muktadha huu) inaweza kumshape vipi mtoto tofauti na shule zingine?
Wao wanakazana coneksheni this koneksheni that,,kama deal kujuana na mtoto wa waziri or gavana wa BOT,hao mawaziri,speaker wa...
Sina muda ila ningekwambia kwa kirefu ungeelewa wanachoamini,ulichosema hakipo,wanachoamini ni kua Dunia ni ovu imejaa Kila aina ya ubaya,ila Kuna ulimwengu mwingine ambapo hakuna vita wala magonjwa...
Sisemi kama Mungu yupo au hayupo,ila Kwanza ungejifunza wanaoamini Katika Mungu wanasema Nini wanapopatwa na mabaya,misiba,vita na dhiki..
Ulichoongea ni tofauti na kazi za Mungu kwa wanaoamini!!!
Nilishawai kuitwa coon na mzungu mtu mzima,nishawahi kuitwa nigga na mzungu my age, nishawahi kuitwa Steve Urkel na mzungu mtoto,pia nishawahi kuitwa Racist na mdada wa mzungu shemeji yangu...
Huwa mnapata hisia gani mtu akikubagua or ukiwa descriminated against?
Is that a wish or the dream?Kila la kheri mkuu,Sasa kwa vile Hawa wanawake wa kisasa 20+ karibu wote washatoboka,utapata wakati mgumu kukutana na mzigo sildi(zote Mbili)..
Rai yangu kwa bikra hunters please msije kimbilia watoto wa shule(underages)..
Mwisho:bro kama ulikua zoba shuleni...
Tisheti zangu zote mgongoni niliandika "Michael Owen" bro nilikia winga mmoja hatari sana kama Robben...
Namimi ndio chanzo cha kitaa kuacha kucheza cha ndimu,nilikua nasoma shule fulani mipira ORIGINAL ilikua mingi number 5,so nilikua naiba shule mipira napeleka kitaa,chama letu liliitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.