Recent content by lost files

  1. lost files

    JamiiForums Tanzania My brain brains not properly!!🤔🤔🤔🤔

    Fvck politikisi Fvck polisi Fvck wizara ya sheria Fvck mahakama Fvck Katuga Fvck judges Fvck Abdul Fvkc the deceased husband Fvck kimama Fvck mchengwlewa Fvck msiba Fvck muungano Fvck mwashamba Fvck me Fvck Mshana Jr Fvck wema Fvck Whozu Fvck Msoga family And if you down with this atrocious...
  2. lost files

    JamiiForums Tanzania KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

    Tunataka kuandamana hili mpewe hizo allowances na mishaara minono ila tunaogopa mtatupiga mabomu
  3. lost files

    JamiiForums Tanzania 9 September 2026: Apple wazindua simu tatu, iPhone Duo, iPhone 18 Pro, iPhone 18 Pro Max na accessories nyingine!

    Yes nafikiri pia hii ndio sababu au kwa vile Tanzania iPhone zishaonekana simu za matajiri so wauzaji wanaropoka bei wanavyojisikia,.mdogo wangu nimempa 15 kaenda ku top up,kidogo nimpige vibao..wanawake akili sijui huwa wanapeleka wapi,.nimepiga hesabu ni kama ile simu kaiuza 250k.. Now mjinga...
  4. lost files

    JamiiForums Tanzania 9 September 2026: Apple wazindua simu tatu, iPhone Duo, iPhone 18 Pro, iPhone 18 Pro Max na accessories nyingine!

    Maybe sijaeleweka or sijaelewa jibu lako Ngoja niulize tena,. Kwenye soko la dunia iPhone ikizinduliwa bei yake inakua ndogo kulinganisha na Samsung(zote zikiwa flagship) but kwanini zikifika Tanzania iPhone inakua bei kubwa kuzidi Samsung??Wakati huko zinapotoka Samsung gharama kubwa kuzidi...
  5. lost files

    JamiiForums Tanzania 9 September 2026: Apple wazindua simu tatu, iPhone Duo, iPhone 18 Pro, iPhone 18 Pro Max na accessories nyingine!

    Kitu ambacho sijajua why apple wakizindua simu bei zinakua ndogo kulinganisha na samsung flagship ya wakati huo,but zikifika bongo iPhone bei kubwa kuzidi samsung??mfano Leo wametanga 18 pro Usd 1199,samsung inaweza kua 1299,.but zikija bongo samsung itauzwa milion 4 tsh,iPhone itauzwa zaidi ya...
  6. lost files

    JamiiForums Tanzania 9 September 2026: Apple wazindua simu tatu, iPhone Duo, iPhone 18 Pro, iPhone 18 Pro Max na accessories nyingine!

    Hapa wamekua fair sana bei yake hata masikini tunaweza kujikuna.,nimejaribu ku pre order meseji imekuja ku order hadi tarehe 12..
  7. lost files

    JamiiForums Tanzania Kwa ushahidi wa mh. Heche, naamini ukiwa CCM unabadilika na kuwa si binadamu kamili

    Kwa hapa tulipofikia Cutting someone off because of their political views is valid,mtu anae tetea ukatili huu sio jambo la kuchukulia kama 'Just opinions' huyo nae mshenzi vilevile
  8. lost files

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu anatangaza kwenye Social Media anakodisha Nyumba yake hafu anaiita Airbnb?

    Uelewa wetu mdogo na hatuna muda wa kujifunza,hata nyumba ambazo wanasema zina 'Open kitchen' ukiangalia hazina open kitchen,but ni WET KITCHEN.. apartment ambazo wanatangaza ni STUDIO APARTMENT sio studio ni Bed sitter.. Wanachanganya wateja hasa wanaotoka nje ya nchi
  9. lost files

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Yes kwa bei ya chini usd 1200-1500 unapata..one bedroom apartment
  10. lost files

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Vyumba viwili uongo,hizo za kulenga labda bedsitter ambazo madalali wanaita STUDIO APARTMENT..
  11. lost files

    JamiiForums Tanzania TSh 6M kwa mwezi ndiyo level ya kuishi maisha comfortable Dar au Arusha bila kila mwezi kuwa na financial stress.

    Oysterbay nyumba ya 1.5 vyumba viwili hakuna..
  12. lost files

    JamiiForums Tanzania Hadi huruma. Samia Suluhu kawa mdogo. Kifo kisikie kwa jirani

    Kwa niaba ya Mama Janet Pombe Magufuli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
  13. lost files

    JamiiForums Tanzania Co-parenting Tanzania na Afrika: Kwa nini ni vigumu wazazi kulea watoto bila migogoro?

    Okay sikujua kama imaitwa hivyo me naitaga rhetorical question kwa tafsiri ya google A rhetorical question is a question asked to make a point or introduce a topic,rather than to get an actual answer.The speaker or writer already knows the answer,or assumes the audience does.
  14. lost files

    JamiiForums Tanzania Co-parenting Tanzania na Afrika: Kwa nini ni vigumu wazazi kulea watoto bila migogoro?

    elimu au culture transformation hili kuleta matokeo chanya huwa inachukua miaka 30-50. Tabia ambazo tunazo kizazi hiki haziwezi kuondolewa na elimu utakayo fundishwa sasa,sisi ni matokeo ya malezi(matunda) ya wazazi wetu wa miaka ya 60
Back
Top Bottom