Recent content by lost files

  1. lost files

    Watanzania wengi hawana akili timamu, Majaliwa wanayemshangilia leo wanadhani hayuko ndani ya mfumo

    Hatujawahi kua na kiongozi mkubwa mzuri,kwahiyo kwa watanzania siku zote tunaangalia nani ni less evil ,as long as CCM kila siku itakua bora Nyerere, bora Mwinyi,bora Mkapa,bora sokoine,now mjadala kati ya Magu na Samuya nani kateka watu wengi zaidi....
  2. lost files

    Kimsingi Kuna faida Kubwa sana kumsomesha mwanao high-class school kama una uwezo

    Ndio huwa nashangaa,hoja ilitakiwa kua Elimu kama chombo cha ukombozi wa fikra,elimu bora(kwa muktadha huu) inaweza kumshape vipi mtoto tofauti na shule zingine? Wao wanakazana coneksheni this koneksheni that,,kama deal kujuana na mtoto wa waziri or gavana wa BOT,hao mawaziri,speaker wa...
  3. lost files

    Kimsingi Kuna faida Kubwa sana kumsomesha mwanao high-class school kama una uwezo

    Sababu nyingi mnazosema za kuwapeleka watoto International schools naonaga kama za kijinga sana,.
  4. lost files

    Takribani watu 1,300 wameuawa na Mamilioni kupoteza makazi Iran

    Tukilinganisha na waliokufa October 29,hiyo ni rookie number
  5. lost files

    Huu ndio wakati muafaka wa MUNGU kuonyesha uwepo na uwezo wake kwa watu wake. Lakini Hayupo kusaidia lolote, Watu wanauwawa tu. Hasa watoto wadogo

    Sina muda ila ningekwambia kwa kirefu ungeelewa wanachoamini,ulichosema hakipo,wanachoamini ni kua Dunia ni ovu imejaa Kila aina ya ubaya,ila Kuna ulimwengu mwingine ambapo hakuna vita wala magonjwa...
  6. lost files

    Huu ndio wakati muafaka wa MUNGU kuonyesha uwepo na uwezo wake kwa watu wake. Lakini Hayupo kusaidia lolote, Watu wanauwawa tu. Hasa watoto wadogo

    Sisemi kama Mungu yupo au hayupo,ila Kwanza ungejifunza wanaoamini Katika Mungu wanasema Nini wanapopatwa na mabaya,misiba,vita na dhiki.. Ulichoongea ni tofauti na kazi za Mungu kwa wanaoamini!!!
  7. lost files

    Kwanini watu weusi ndio wanaoongoza kubaguliwa zaidi duniani?

    Nilishawai kuitwa coon na mzungu mtu mzima,nishawahi kuitwa nigga na mzungu my age, nishawahi kuitwa Steve Urkel na mzungu mtoto,pia nishawahi kuitwa Racist na mdada wa mzungu shemeji yangu... Huwa mnapata hisia gani mtu akikubagua or ukiwa descriminated against?
  8. lost files

    Tutabiri top 6 ya ligi kuu ya Uingereza itakavyomalizika

    1: Arsenal 2: Manchester city 3: Aston villa 4: Manchester united 5: Chelsea
  9. lost files

    Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

    Kipi dhambi kipi haramu?
  10. lost files

    Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

    Nipe million tatu,kuagiza tu mzigo utapokea wewe, address ya kwako
  11. lost files

    Nahisi kichefuchefu na uchafu kuoa mwanamke asie na bikra. Ntakuwa wa mwisho kuamini bikra haina maana kwenye ndoa

    Is that a wish or the dream?Kila la kheri mkuu,Sasa kwa vile Hawa wanawake wa kisasa 20+ karibu wote washatoboka,utapata wakati mgumu kukutana na mzigo sildi(zote Mbili).. Rai yangu kwa bikra hunters please msije kimbilia watoto wa shule(underages).. Mwisho:bro kama ulikua zoba shuleni...
  12. lost files

    Wale tuliowahi kucheza chandimu tukutane hapa tujuane

    Tisheti zangu zote mgongoni niliandika "Michael Owen" bro nilikia winga mmoja hatari sana kama Robben... Namimi ndio chanzo cha kitaa kuacha kucheza cha ndimu,nilikua nasoma shule fulani mipira ORIGINAL ilikua mingi number 5,so nilikua naiba shule mipira napeleka kitaa,chama letu liliitwa...
Back
Top Bottom