Recent content by lost files

  1. lost files

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 yawasilisha ripoti leo Aprili 23, 2026

    Wanasema "Death before dishonor" huyu mzee Chande angekufa mapema angekua Shujaa kwa Wengi,kumbe mshenzi tu kama washenzi wengine,huwa wanapewa nini kua wajinga kwa kiasi hiki?maana kama Pesa wanazo.. siwezi ku compromise on values,Humanity,loyalty,or integrity, even if it means waniue,,or...
  2. lost files

    JamiiForums Tanzania Dagaa wanaochakatwa kwa kuchemshwa, virutubishi vingi vinapotelea kwenye maji

    binti kiziwi Janja unafeli kumbe pishi la dagaa,chukua notisi
  3. lost files

    JamiiForums Tanzania Iran wameishiwa mbinu wanataka kulipua makampuni binafsi, ni kama Tanzania ipigane na SA halafu ianze kulipua viwanda vya blueband na Vaseline, Kenya

    Sio kwamba anapanga,week iliyopita alilipua servers za Amazon,tho hiyo si ndio maana ya Guerrilla war??
  4. lost files

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi hawana akili timamu, Majaliwa wanayemshangilia leo wanadhani hayuko ndani ya mfumo

    Hatujawahi kua na kiongozi mkubwa mzuri,kwahiyo kwa watanzania siku zote tunaangalia nani ni less evil ,as long as CCM kila siku itakua bora Nyerere, bora Mwinyi,bora Mkapa,bora sokoine,now mjadala kati ya Magu na Samuya nani kateka watu wengi zaidi....
  5. lost files

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sometimes inabidi uwe gentleman unaemjali mpenzi wako na kuwa romantic, acha kuandamwa na mawazo ya kuwa "simp" ?

    bora uitwe Princess, ila sio gentleman
  6. lost files

    JamiiForums Tanzania Kimsingi Kuna faida Kubwa sana kumsomesha mwanao high-class school kama una uwezo

    Ndio huwa nashangaa,hoja ilitakiwa kua Elimu kama chombo cha ukombozi wa fikra,elimu bora(kwa muktadha huu) inaweza kumshape vipi mtoto tofauti na shule zingine? Wao wanakazana coneksheni this koneksheni that,,kama deal kujuana na mtoto wa waziri or gavana wa BOT,hao mawaziri,speaker wa...
  7. lost files

    JamiiForums Tanzania Kimsingi Kuna faida Kubwa sana kumsomesha mwanao high-class school kama una uwezo

    Sababu nyingi mnazosema za kuwapeleka watoto International schools naonaga kama za kijinga sana,.
  8. lost files

    JamiiForums Tanzania Takribani watu 1,300 wameuawa na Mamilioni kupoteza makazi Iran

    Tukilinganisha na waliokufa October 29,hiyo ni rookie number
  9. lost files

    JamiiForums Tanzania Huu ndio wakati muafaka wa MUNGU kuonyesha uwepo na uwezo wake kwa watu wake. Lakini Hayupo kusaidia lolote, Watu wanauwawa tu. Hasa watoto wadogo

    Sina muda ila ningekwambia kwa kirefu ungeelewa wanachoamini,ulichosema hakipo,wanachoamini ni kua Dunia ni ovu imejaa Kila aina ya ubaya,ila Kuna ulimwengu mwingine ambapo hakuna vita wala magonjwa...
  10. lost files

    JamiiForums Tanzania Huu ndio wakati muafaka wa MUNGU kuonyesha uwepo na uwezo wake kwa watu wake. Lakini Hayupo kusaidia lolote, Watu wanauwawa tu. Hasa watoto wadogo

    Sisemi kama Mungu yupo au hayupo,ila Kwanza ungejifunza wanaoamini Katika Mungu wanasema Nini wanapopatwa na mabaya,misiba,vita na dhiki.. Ulichoongea ni tofauti na kazi za Mungu kwa wanaoamini!!!
  11. lost files

    JamiiForums Tanzania Ifahamu ‘Kwanza Unit’ Kundi la muziki la zamani lililotaka kuifanya Tanzania kuwa Taifa la Hip Hop

    Zavara Mponjika..peace kwako raster
  12. lost files

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu weusi ndio wanaoongoza kubaguliwa zaidi duniani?

    Nilishawai kuitwa coon na mzungu mtu mzima,nishawahi kuitwa nigga na mzungu my age, nishawahi kuitwa Steve Urkel na mzungu mtoto,pia nishawahi kuitwa Racist na mdada wa mzungu shemeji yangu... Huwa mnapata hisia gani mtu akikubagua or ukiwa descriminated against?
  13. lost files

    JamiiForums Tanzania Tutabiri top 6 ya ligi kuu ya Uingereza itakavyomalizika

    1: Arsenal 2: Manchester city 3: Aston villa 4: Manchester united 5: Chelsea
  14. lost files

    JamiiForums Tanzania Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

    Kipi dhambi kipi haramu?
Back
Top Bottom