Recent content by losi

  1. L

    Family Car Needed

    Mkuu nashukuru sana kwa ushauri kaka,,,ntaufanyia kazii
  2. L

    Re: Jinsi makampuni makubwa ya nje yanavyoibia nchi changa hasa Tanzania

    Wanajamii, Naomba nitoe niliyoyasikia kuhusu utafiti uliofanywa na Mhadhiri wa Chuo cha ESAMI chenye makao yake mjini Arusha. Utafiti wake ulihusu Tanzania na Botswana katika sekta ya uchimbaji madini na jinsi makampuni haya makubwa yanavyokwepa kulipa kodi kwa kisingizio cha hasara. Najua...
  3. L

    Bajaji ya biashara inatakiwa

    Wana jamiii,,,naombeni mwenye taarifa zozote za wapi Bajaji used kutoka nje zinauzwa. Nataka bajaji used ambayo iko katika hali nzuri kwa ajili ya kufanyia biashara. Mtaji wangu sii zaidi ya milioni3. Ila kama nitapata nzuri zaidi nikaongeza kidogo sawa. Nikipata hata 2 nitashukuru zaidi. Msaada...
  4. L

    Family Car Needed

    Wataalam wa Magari, Jf. Naombeni ushauri wenu kuhusu convinient Family Car. Nataka gari ya familia ya watu 7,,, itakayokithi mahitaji yangu. Nimekuwa nikifuatilia magari haya, Gaia, Picnic na Ipsum. Naombeni ushauri kati ya hizo,,,au na nyingine ambayo sijaitaja,,,,ipi ni bora na yenye matumizi...
  5. L

    Wanaume wasiopumulia wenza wao wanaficha siri - Dr Chriss Mauki

    Mi nadhani hamjamuelewa mtoa mada,,,hoja hapa ni usiri na wala sio tukio lenyewe la kupumua. Kama utakuwa na mpz wako usiku kucha na wakati mwingine muda mrefu wa mchan,,na hajawahi kusikia ukipumua,,,wakati kupumua ni jambo la lazima,,,basi utakuwa unamficha mengi zaidi ya hilo la...
  6. L

    Wanawake Wananichosha Hapa Tu..!!

    Heri yangu mi shaajipatia wanguuu,,,,,,,ila wadogo zetu wana kazi sanaa,,
  7. L

    Wanawake Wananichosha Hapa Tu..!!

    Lini atapatikana msichana asiejali kama ATM inasoma zero au figure flani? Kwake yeye ni mapenzi ya dhati. Hivi ndoo wameisha kweli?
  8. L

    Wanawake Wananichosha Hapa Tu..!!

    Yaani hapa anathibitisha kauli ya jamaa kuwa wanawake rafiki zao ni ATM sio sisi,,,kama haisomi,,,basi huna rafiki
  9. L

    Wanawake Wananichosha Hapa Tu..!!

    Mmh,,,,aisee hapo kuna kaukweli lakini,,,,
  10. L

    Re. Natafuta Bajaji Used kutoka nje

    Naomba nitoe tena tangazo hapa kwa wenye taarifa zaauzaji wa Bajaji used kutoka nje. Nasema kutoka nje kwa sababu za hapa bongo zinakuwa zimechoka sana. Ila kama kuna anaeuza ya kwake hapa bongo na iko katika hali nzuri,,,imetumika chini ya mwaka mmoja basi ani inbox kwa mawasiliano zaidi.
  11. L

    Natafuta Business Partner

    Uko wapi mkuu? Na unapatikanajee
  12. L

    Natafuta bajaji mpya TVS

    Wazee vipi kuhusu bajaji used. Kuna wauzaji rasmi kama ilivyo kwa magari? Au hiyo mpaka umpate mmiliki anaeuza ya kwake? Binafsi natafuta used 2 lakini ziwe katika hali nzurii
  13. L

    Vunja Bei SmartPhones: achana na bei za zamani sasa Bei imepoa:

    Mfano Sumsung S5,,,je ina support 4G? Na Sumsjng Note3 je?,,nahitaji inayosupport 4G tu,,,bei isizidi laki5
  14. L

    Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

    Mkuu nimeona tangazo lako,,,ila sijajua kama simu zako zina support 4G,,,mfano,,nataka simu ya Sumsung,,,bei isizidi laki5 iwe knasupport 4G,,,na iwe na screen kubwa,,,ushauri tafadhali
  15. L

    Natafuta Bajaji Used kutoka nje

    Wanajamii,,,,naombeni mwenye info za wauzaji wa bajaji used kutoka nje na bei zake,,,,Namaanisha sio mpya lakini ziwe nzuri na nzima,,,,,,,
Back
Top Bottom