Ukijifunza kuudadisi kwa undani na kwa muono usio na attachment wala judgement msongo wako wa mawazo si kitu ambacho kipo kwenye uwepo, coz uwepo wako na kipindi ambacho unathibitishwa ya kuwa upo ni SASA (NOW). Lakini ukiichunguza stress yoyote iliyomo kichwani mwako utagundua ni msongamano wa...
Napenda sana kujifunza hii sio vita napenda kuelekezwa sana tu ila saaa maana na neno ni vitu tofauti kabisa mm kuna maana nailenga kwa kutumia neno ROHO.
Maneno si maana na maana si neno waweza kulitumia vyovyote kwa maana iliyomo kichwani mwako. Mfano. "Moyo wangu umefurahi" kwa maana ya moja kwa moja moyo ni kiungo tu kilichopo mwilini hakina hisia yoyote ya kufurahi.
Umeelewa nadhani
Hayo yote nayajua na nimeyafanya ujasiliamali sana ndugu, hapa nilipo nipo kagera ila home ni DSM kilichonileta huku ni dagaa, nilikuwa natoa dagaa huku natuma bongo. kwa bahati mbaya mwezi wa saba ilitokea ajali ya mashua kutoka kelebe kuja bukoba mjini ilizama na gunia zangu za dagaa mpaka leo...
Hayo yote nayajua na nimeyafanya ujasiliamali sana ndugu, hapa nilipo nipo kagera, ila home ni DSM kilichonileta huku ni dagaa nilikuwa natoa dagaa huku natuma bongo kwa bahati mbaya mwezi wa saba ilitokea ajali ya mashua kutoka kelebe kuja bukoba mjini ilizama na gunia zangu za dagaa mpaka leo...
Mkuu unajua usilolipitia huwezi kulijua huyo mama kaset akili yake kwenye vijana wazembe wanaokaa wakisubir ajira kumbe kuna ambao tumejaribu kujiajiri tukakomaa ila mifumo ya nchin kwetu imetuangusha tena sio mara moja. Ukiona simba nakula majani ujue nimekosa hata sungura wa kumuwinda
Usilolijua usiku wa giza unadhani nimekaa tu toka mwaka huo, nshapambana sana na kujiajiri ila changamoto na mifumo haijakaa kutusapoti sio kila anaefeli ni mzembe bi mkubwa.
Naweza nikafanya kazi kwenye NGO'S, pia kwenye mashirika yanayojihusisha na social security kama NHIF etc, pia naweza pia kufanya kazi kwenye sector za afya kama msimamizi wa sera za afya.. field nilifanya Hospitali ya Temeke DSM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.