dah we jamaa ni full comedian kule kwenye uzi wa manure unawapiga biti kuwa leo liva atawapiga kipigo cha mbwa mwizi huku kwetu naye unatuambia kuwa kwa manure leo hatuchomoki nimegundua kuwa huna jipya zaidi ya kupandikiza hofu kwa manure and livapool fans
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa mtazamo wangu hii ratiba ni rafiki kwetu kwani sina hakika kama nguvu wanazotumia wachezaji wa timu hizo wanapokutana na city wataweza kuzimaintain wanapokutana na sisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh Mwenyezi Mungu kwa niaba ya mashabiki wa LFC nakuomba utuepushe na kikombe kinachowapitia sasa hivi wapinzani wetu watatu wa karibu kwenye mbio za ubingwa wa EPL
Sent using Jamii Forums mobile app
if you want to stop vardy just stop supply of the ball to him,kwa hili vijana wetu walifanikiwa mno hongereni kwa ushindi mashabiki wenzangu wa LFC!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.