Recent content by Longoshe

  1. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo yanayojiri nchini Iran

    kweli shekh
  2. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Takwimu hizi zinamaana gani kwa sera zetu za kijeshi. Tumekua kama Ujerumani?

    mkuu hii ni ya kweli Tanzania tunajeshi lenye watu wengi tu ila silaha hatuna
  3. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo yanayojiri nchini Iran

    #IRAN KILICHO NYUMA YA MAANDAMANO DHIDI YA HIJABU NCHINI IRAN. Mnano tarehe 16 mwezi wa 9 mwaka 2022 kilitokea kifo cha bint Mahsa Amin Amefariki akiwa katika kituo cha polis mjiji Tehran na akiwa mikononi mwa polisi wa maadili wa Iran Kosa la bint huyu ni kutovaa hijabu katika maisha jumla(...
  4. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Spika Tulia Ackson: Mtu akimsema vibaya Rais nyooka naye, akinisema vibaya Nyooka naye

    binti mbona hujielewi, kumsema hovyo kivipi, ikiwa yeye ndo dereva anaye liendesha hili gari lililokosea njia
  5. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Spika Tulia Ackson: Mtu akimsema vibaya Rais nyooka naye, akinisema vibaya Nyooka naye

    bila shaka ww ni chalii wa UVCCM
  6. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Spika Tulia Ackson: Mtu akimsema vibaya Rais nyooka naye, akinisema vibaya Nyooka naye

    kichwa chako ni kibovu
  7. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Spika Tulia Ackson: Mtu akimsema vibaya Rais nyooka naye, akinisema vibaya Nyooka naye

    Speaker wa bunge la jamhuri ya Tanzania Dr Tulia Akson, leo tarehe 3. 10. 2022 alipokuwa anaongea katika kikao na vijana wa CCM amewasisitiza kwamba ikiwa kuna mtu yeyote atakaye msema raisi Samia Suluh vibaya basi wana wajibu wa kudeal naye sambamba. Speaker tulia kauli hii ni ya uchochezi na...
  8. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Niwezeshe niende kwenye ulambaji wa asali

    wataifuta soon hii thread yako
  9. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo anastahili pongezi

    hiii original mkuu
  10. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Hakuna Taifa Afrika Mashariki lenye watu wengi wanaojielewa kama Kenya

    kweli mkuu wakenya wamesoma wakaelimika
  11. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo anastahili pongezi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  12. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo anastahili pongezi

    mimi sipo
  13. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo anastahili pongezi

    bado yupo sana mkuu ni ww humuoni ila kabadilika kwa kiasi flani
  14. Longoshe

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo anastahili pongezi

    kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, wakuu maxence melo anahitaji pongezi kwani ameweza kubeba mioyo ya vijana waoga wa kitanzania ambao wamo humu wanatumia ID fake, kutokana na kuogopa serikali yenye viongozi wa hovyo
Back
Top Bottom