Maxence Melo anastahili pongezi

Maxence Melo anastahili pongezi

Hata kama unajificha, jitahidi kuwa makini katika kutoa Uzi au maoni. Nilishasema siku moja kuwa bata mzinga akiona adui anaficha kichwa chake kwenye mchanga. Jiulize mgongo anamuachia nani?
 
kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, wakuu maxence melo anahitaji pongezi kwani ameweza kubeba mioyo ya vijana waoga wa kitanzania ambao wamo humu wanatumia ID fake, kutokana na kuogopa serikali yenye viongozi wa hovyo
Where we dare to talk openly.
 
kuwa jf haimaanishi ni waoga, tupo kwa ajiri ya kujifunza,kuburudika na mengine mengi ambayo huko kwingine hayapo, id ni wewe tu coz wapo wanaotumia majina yao harisi humu.
Samahani mkuu kajipange kwanza kwenye hizi R na L zako.
 
Pongezi kwake.
ILA HAPO KWENYE KUNDI LA VIJANA WAOGA SIPO
 
Mkuu kumbuka wewe bado ni 'member' humu ndani,,
Punguza spidi,shusha pumzi kwanza uusome upepo wa humu ndani,,,

Kwanza jifunze jinsi ya kishi humu,,,,

Jinsi ya kuchangia,,,,,,

Majukwaa ya saiz itakayokufaa,,,,,,,

Watu wa kwenda nao LIGI,,,,,,,,

MODERATOTS wanataka nini,,,,,,,

Kusifu kupo,mbona hili Taifa limekuwa la kusifu hivi!!

Hujasema kwanini tumfanyie Max kama wewe ulivyoyotaka,,
Uzi umeisha ama kuna part 2 yake???

Kama una haraka ya kushindwa kuandika mengi humu basi kubali kuiywa "mpenzi msoma comment kama" monde arabe mzee wa 'noma sana'
 
Back
Top Bottom