Maxence Melo anastahili pongezi

Maxence Melo anastahili pongezi

Longoshe

Member
Joined
Jul 30, 2022
Posts
52
Reaction score
66
kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, wakuu maxence melo anahitaji pongezi kwani ameweza kubeba mioyo ya vijana waoga wa kitanzania ambao wamo humu wanatumia ID fake, kutokana na kuogopa serikali yenye viongozi wa hovyo
 
kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, wakuu maxence melo anahitaji pongezi kwani ameweza kubeba mioyo ya vijana waoga wa kitanzania ambao wamo humu wanatumia ID fake, kutokana na kuogopa serikali yenye viongozi wa hovyo
Anastahili pongezi nyingi sana sana
 
Kwani serikali yenyewe inajali basi...haijali wala nini!

Kuna majukwaa mengi tu humu tunajifunza mambo mbalimbali ya maisha.

Hatuna time na serikali sisi.
 
Hana lolote mjinga tu , alipowekwa ndani na kuvalishwa msuli kwa miezi kadhaa ametoka kawa wabaridddiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, umewahi kunmsikia tena tangu katolewa ndani? Sikuhizi ni kijana wa hovyo kama steve misiba tu(steve mengele) nyerere
 
Hana lolote mjinga tu , alipowekwa ndani na kuvalishwa msuli kwa miezi kadhaa ametoka kawa wabaridddiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, umewahi kunmsikia tena tangu katolewa ndani? Sikuhizi ni kijana wa hovyo kama steve misiba tu(steve mengele) nyerere
bado yupo sana mkuu ni ww humuoni ila kabadilika kwa kiasi flani
 
Huyo jamaa Serikali ingemtumia kutengeneza site zao ziwe bora na zenye usalama wao badala ya kuwatumia watu wenye vipaji ndio wakawa wanafungulia kesi...huyu Melo ana kipaji...
 
kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, wakuu maxence melo anahitaji pongezi kwani ameweza kubeba mioyo ya vijana waoga wa kitanzania ambao wamo humu wanatumia ID fake, kutokana na kuogopa serikali yenye viongozi wa hovyo
Hujui kuwa naye ni muoga?
Akitaka kuingia ule uzi wa KULA KIMASIHARA na kuchangia ana ka id chake fake cha kuchangia kule🤣🤣🤣
Maxence Melo
 
Huyo jamaa Serikali ingemtumia kutengeneza site zao ziwe bora na zenye usalama wao badala ya kuwatumia watu wenye vipaji ndio wakawa wanafungulia kesi...huyu Melo ana kipaji...
Bro tangu mwanzo wa uhuru wenye akili hawakutakiwa kwenye system bali yanajazwa mabogaz tu.
Kumbuka mtu mwerevu kama Kambona alipigwa vita hadi akakimbilia uhamishoni na kubandikwa majina mabaya mabaya.
Watu kama akina Lissu wabobevu wa sheria badala ya kutumiwa wanapigwa bunduki kama tembo...Mungu akamnusuru bado akabandikwa majina mabovu.

Tanzania tumenyimwa viongozi werevu.
Kwanini sisi tu tunapewa viongozi kama oil chafu? Makapi? Mabaki ya chakula?

Hawana utashi wa kuivusha nchi japo tuna kila kitu...aaah mimi ninachukia sana asee
 
Bro tangu mwanzo wa uhuru wenye akili hawakutakiwa kwenye system bali yanajazwa mabogaz tu.
Kumbuka mtu mwerevu kama Kambona alipigwa vita hadi akakimbilia uhamishoni na kubandikwa majina mabaya mabaya.
Watu kama akina Lissu wabobevu wa sheria badala ya kutumiwa wanapigwa bunduki kama tembo...Mungu akamnusuru bado akabandikwa majina mabovu.

Tanzania tumenyimwa viongozi werevu.
Kwanini sisi tu tunapewa viongozi kama oil chafu? Makapi? Mabaki ya chakula?

Hawana utashi wa kuivusha nchi japo tuna kila kitu...aaah mimi ninachukia sana asee
Kama huyu Waziri wa fedha ndio kabisaa hakuna mtu pale ila ndio kashikiria Uchumi wetu kwa mawazo yake ya chini kabisa..
 
Kama huyu Waziri wa fedha ndio kabisaa hakuna mtu pale ila ndio kashikiria Uchumi wetu kwa mawazo yake ya chini kabisa..
Huyo mtu wao kwa upande wa uharibufu.
Dark misheni nyingi huyu ndiye masta wao hivyo lazima wamlipe cheo.

Rejea alivyomtesa yule mbunge wa cdm kwa kumtengenezea cd fake ya ugaidi, jamaa karibu afue jela kwa ugonjwa wa kisukari.
Rejea alivyotesa watu Usa river enzi za kikwete hadi wengine walipoteza maisha.

Rejea alivyokuwa waziri wa mambo ya ndani hapa sisemi sana.

Kwa ufupi nchi hii wao ndio wanatanua kwa kula keki ya taifa bure ya bure.
Aaah nina hasira sana mimi
 
kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, wakuu maxence melo anahitaji pongezi kwani ameweza kubeba mioyo ya vijana waoga wa kitanzania ambao wamo humu wanatumia ID fake, kutokana na kuogopa serikali yenye viongozi wa hovyo

Marekebisho kiswahili tafadhali:

Anahitaji pongezi = kwa kutambua mchango wake anaomba apongezwe.

Anastahili pongezi = kwa kutambua mchango wake ni vyema akapongezwa.

Ingependeza zaidi kufanyia kichwa ukarabati.
 
kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, wakuu maxence melo anahitaji pongezi kwani ameweza kubeba mioyo ya vijana waoga wa kitanzania ambao wamo humu wanatumia ID fake, kutokana na kuogopa serikali yenye viongozi wa hovyo
Wewe mwenyewe huenda hii ID yako ni fake!
 
Back
Top Bottom