Hawa jamaa wamethubutu angalau kuweka wagombea ubunge majimboni.Wameanza vizuri,ni ukweli kwamba huwezi walinganisha na vyama kama NLD,TLP,UDP,DP,CHAUMMA,TADEA,JAHAZ ASILIA n.k,na wakubwa zao wa sasa NCCR na CUF wamepwaya kupigania uhai wao majimboni.Tuwaache ACT wafanye yao,ndiyo...