gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,340
- 3,394
Hili ni bango ambalo limeonekana ktk mkutano wa ufunguzi wa chama cha ACT wazalendo hivyo wazee wa mafuriko hii ni tafakari kwenu.
Mchange anawakumbusha watanzania juu ya ufisadi wa ndugu Lowasa ambaye alitajwa kwenye orodha ya mafisadi pale mwembe yanga ambapo leo UKAWA ndiye raisi wao.
Mchange anamtaja Sumaye kwamba ni mlaghai mkubwa,
Mchange anawatahadharisha watanzia kwamba Chadema na UKAWA vimenunuliwa na mafisadi na UKAWA imekua maficho ya mafisadi.
Mchange anashangaa mtu kujinasibu kwamba atamtoa babu seya huku wakati babu seya anafungwa yeye alikua na mamlaka makubwa.
Mchange anawatahadharisha watanzania juu ya huu ulaghai unaofanywa na UKAWA.
Zitto kabwe anashangaa sasa ufisadi umekua sio agenda tena.
Hii ni sms kwa yeyote atakaeguswa,
Matusi sitaki
Mchange anawakumbusha watanzania juu ya ufisadi wa ndugu Lowasa ambaye alitajwa kwenye orodha ya mafisadi pale mwembe yanga ambapo leo UKAWA ndiye raisi wao.
Mchange anamtaja Sumaye kwamba ni mlaghai mkubwa,
Mchange anawatahadharisha watanzia kwamba Chadema na UKAWA vimenunuliwa na mafisadi na UKAWA imekua maficho ya mafisadi.
Mchange anashangaa mtu kujinasibu kwamba atamtoa babu seya huku wakati babu seya anafungwa yeye alikua na mamlaka makubwa.
Mchange anawatahadharisha watanzania juu ya huu ulaghai unaofanywa na UKAWA.
Zitto kabwe anashangaa sasa ufisadi umekua sio agenda tena.
Hii ni sms kwa yeyote atakaeguswa,
Matusi sitaki