Wadau wa kozi za afya tafadhalini

Wadau wa kozi za afya tafadhalini

Kaka ondoa wasiwasi na usijaribu kulinganisha UDOM na Kampala.Hivi ni vyuo viwili tofauti,hoja ya msingi hapa ni hii..udom ni chuo cha serikali,kinatambulika na mamlaka zote na hakuna aliyesoma chuo cha serikali akakosa usajili wa leseni.Tatizo lililoikumba Kampala inasemakana walikuwa wanatumia mtaala wa Uganda ktk afya issue ambayo ilikuja kujulikana kuwa hawakuwa na usajili wa kuendesha masomo ya afya.UDOM ni serikali na NACTE ni serikali pia,kapige kitabu wala usihofu unalindwa na mamlaka za serikali.
 
Hivi nani huwa anakuwa mshaur wako mkuu! Mi nakushaur songa mbele usirudi nyuma, piga ualimu then masters piga Health Economic or Public Health or Masters in Health System Management. OVER

Kaka naomba ushauri katika hilo LA master japo sina wazi kwa sasa..ninasoma ba in economics and statistics, nilisoma egm na olevel sikusoma physics wala chemistry ila nilisoma biology nikapata B mwaka 2010.

Nawaza kusoma master za afya kma biostatistics..

My u give me some enlightenment about master with related field????
U can answer me inbox kama wadau hawatajali kuharibu dhima ya Uzi huu...

Shukrani
 
Back
Top Bottom