Siasa hadi kwenye Academic!!! Luhanjo tena jamani! Hivi Tanzania watu wenye busara za kuongoza hakuna au nini tena. Huyu Mzee amefanya mambo ya ajabu katika kipindi chote alichokuwa Waziri kiongozi. Alikuwa in Godfather wa mafisadi kibao .... mostly visibly mimama ya wizara ya Afya na yule...
My friend! wacha kutoa Mapovu... uhamasishaji wa vurugu na uchu wa madaraka kwa njia mbali mbali ikiwepo ushirikishwaji wa nyumba za dini katika mambo ya kisiasa unatupeleka pabaya. Marekani na Kenya sio mifano Mizuri ya kufuata ...kwani hali si shwari katika nchi hizo kutokana na kugrade watu...
My dear sister.. comments zako zinatisha... naona Povu zinakutoka ...kama ni mwanamke wa kawaida neno ''NGONO'' huwa ni dhihaka ya mwisho kwa mwanamke mwenzio... kibaya zaidi comments zako zinatambulisha uelewa na wasifu wako kuwa ni mmoja wa wale walioanzisha, kuchochea udini na wenye nia na...
My dear friend! POVU LINAKUTOKA KWA NINI?? What would say again if you think and relax. A great thinkers would not comment like you do! Religious Extremism is very dangerous.... You guys are making this forum to loose his popularity ..
My dear friend! POVU LINAKUTOKA KWA NINI?? What would say again if you think and relax. A great thinkers would not comment like you do! Religious Extremism is very dangerous.... You guys are making this forum to loose his popularity ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.