Salaam!
ni ukweli usio pindika, kua kila mwanadamu anapitia mabadiliko na mabadiliko huwa hayana hodi, unaweza ukayapinga leo, kesho ukayakubali naamin katibuvwa itikadi atayafuta mabadiliko na alishaanza kuyatafuta tangu zamani bila kujua, siku akiona watu wote wameyapata atakuja ungana na...
tabu tupu.wamejaza mawazo yenye kutu,ila kinacho wasumbua ni serekali tatu.ila watashindwa because they are primitive and they are not willing to change.People now need a changes:flypig:
aaaa! mabasi yote haya, mimi sisemi kitu maana ccm inajipendekeza kwa watu ili waonekane wana huruma sana kumbe ni mafisadi utaona tu wafidia kwenye bajeti
sio njaa, wala sina njaa ya kuchukua buku yako.Bali tunataka kujenga nchi sio kuzunguka nchi nzima na kuchangisha hela kama kanisani. Turudi na wale walio onyesha dhamira ya kupokelewa na Nape wasikate tamaaa.Turudi Tujenge chama na kuwatetea wanyonge.Dhamira ya kweli haikwamishwi na propoganda...
Mimi nipo Arusha na ni mwanachama wa CHADEMA lakini nimeshapata ushawishi wa vijana 10000 mpaka sasa hivi wenye kadi za CHADEMA. Kwa hiyo namsubiri Nape afike A - TOWN kuvisha watu uzalendo.Na muelewe kwamba nguvu ya uma ipo CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.