Kwesse Sports anakuja kwa kasi, ameanza na soko la Free-to-air Tv huku akiwa njiani kuleta Pay Tv katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara.
Nchini Tanzania ameanza kwa kufanya kazi na TV1.
Anaipenda Tanzania kwa kuwa amezaliwa Tanzania na wazazi watanzania wanaoishi Tanzania mpaka sasa lakini kwa kuwa Ureno wamemuamini sana na kumpa nafasi ya kuichezea timu yao ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 basi hilo ndilo Taifa analotaka kuendelea kulichezea.
Wazazi wake ambao...
Wakati fulani nikiwa mdogo baba yangu alirudi nyumbani na suruali nzuri sana ya dangrizi kama zawadi yangu katika sherehe yangu ya kuzaliwa zaidi ya miezi miwili mbele.
Marufuku ilitoka nisijaribu kuivaa kwa namna yoyote ile kabla ya siku lengwa kuwadia. Yalikuwa mateso makubwa ya Kisaikolojia...
Hata kabla ya matokeo mabaya wengi tulijua kufuzu kwenye kundi lenye Nigeria na Misri ni ngumu sana. Lakini wengi tulitarajia kuona mpira ukichezwa, vijana wakiwatoa jasho hao Nigeria na Misri na sio kugawa pointi bure pamoja na kupata kapu la mabao. Tumekiona hicho kwa Mkwasa.
Mkwasa ni kama kasia la kitanzania linalosafiri kwenye bahari chafu ambayo boti zenye injini za wazungu zilionekana kushiindwa. Sare mbili moja ugenini dhidi ya Uganda na inayotusumbua kila siku na moja ya nyumbani dhidi ya Nigeria zimerudisha matumaini ya wengi.
Kufanikiwa kwenye mchezo maalum mara zote ni kitu cha kufurahisha na kuhamasisha, kufanikiwa kwenye michezo miwili ni kitu cha kipekee zaidi.
Shauku ya Wanigeria wengi ilikuwa ni juu ya uwepo wa kocha wao Sunday Oliseh kutaka kufahamu ataanza vipi kibarua chake. Wakati joto kwa upande wao...
Uturuki wamejipanga kwenye suala la utalii wa michezo (Sports Tourism). Kutokana na kuwa kati ya mabara mawili, Asia na Ulaya na miundo mbinu mizuri timu nyingi huwependelea kuweka nchini Uturuki.
Dekoda nyingi zinarekodi kwenye mfumo wa PVR, hii ni format ngumu mno kupata converter yake. Converter nyingi tulizozea kuzipata bure online haziconvert hii format.
Jifunze kujielezea sio kuchanganya mambo binafsi. Tuambie ni kwa nini TFF hawastahili kupewa msamaha wa kodi.
Wazungu na kampuni zao kubwa zenye pesa maradufu wanapewa misamaha ya kodi hapa nchini kwa nini taasisi ya TFF isipewe? Toa hoja, sio kuleta mambo binafsi, what I do to earn a living...
Hoja ni ipi hasa? kama FIFA na pesa zake zote inapewa msamaha wa kadi kwenye kombe la dunia sembuse TFF! Jenga hoja acha ku-personalise issues.
Hivyo viwanja vitatumiwa na umma, timu ndogo na kubwa, shule na vyuo...kwenye suala la maendeleo tusilete chuki binafsi.
Nini maana ya quality? ubora wa ligi ni pamoja na ushindani au unataka kusema ni ligi yenye ushindani bila ubora? Inawezekana lakini unahitaji kutoa vigezo vipya vya ubora.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.