Kupost nyimbo ya mmoja wa aliyejuwa familia yake sio tatizo. Harmonize amehama wasafi, lakini kuhama haina maana wamegombana, alicho fanya kime onyesha ukomavu wa hali ya juu. Kufikiria kugombana ni tatizo hata kukua kwa kazi zake
Habari wana JF,
Mimi ni kijana wa kiume, Miaka 30. Graduate, nimeajiriwa serikalini. Naishi DSM. Dini yangu ni Muislam, mimi ni mstaarabu na nina hofu ya Mungu. Sijawahi kuoa wala sina mtoto. Naamini somewhere out there pia kuna mabinti wengi tu wastaarabu kabisa ambao wanatafuta mme mwema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.