Recent content by Loman

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania hamjiungi na ALIBABA small business website

    Vipi kuhusu kupokea mzigo Tanzania, ulitumia njia gani?
  2. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke mwema - Muislam

    Thank you
  3. L

    JamiiForums Tanzania Harmonize acha kutafuta public sympathy.Hii itakugharimu in long run

    Kupost nyimbo ya mmoja wa aliyejuwa familia yake sio tatizo. Harmonize amehama wasafi, lakini kuhama haina maana wamegombana, alicho fanya kime onyesha ukomavu wa hali ya juu. Kufikiria kugombana ni tatizo hata kukua kwa kazi zake
  4. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Largest Water Park in Africa under construction in Zanzibar at Verde Hotel

    Tayari imeisha, pazuri sana
  5. L

    JamiiForums Tanzania Habari Zenu Wanajukwaa

    Naomba contact zako, nahitaji maelezo zaidi
  6. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke mwema - Muislam

    SHUKRANI
  7. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke mwema - Muislam

    That is big challenge
  8. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke mwema - Muislam

    Nashukuru sana
  9. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke mwema - Muislam

    Naamini hivyo ndugu yangu. Niombee tu
  10. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba tuelekee kwenye mipango ya ndoa

    Nani amekuambia siwezi kupika futari mwenyewe?
  11. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba tuelekee kwenye mipango ya ndoa

    Hamuwezi kukoma, kwani hamna Std 7 walio oa u kuolewa? There is someone for every one
  12. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba tuelekee kwenye mipango ya ndoa

    Hapana, there is someone for every one.
  13. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba tuelekee kwenye mipango ya ndoa

    Thank you. Mungu atakujalia utapata wa vigezo vyako
  14. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba tuelekee kwenye mipango ya ndoa

    Habari wana JF, Mimi ni kijana wa kiume, Miaka 30. Graduate, nimeajiriwa serikalini. Naishi DSM. Dini yangu ni Muislam, mimi ni mstaarabu na nina hofu ya Mungu. Sijawahi kuoa wala sina mtoto. Naamini somewhere out there pia kuna mabinti wengi tu wastaarabu kabisa ambao wanatafuta mme mwema...
  15. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke mwema - Muislam

    awork Work on that soon kaka
Back
Top Bottom