Recent content by Lolen 2

  1. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

    Darili ya mvuwa ni mawingu🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
  2. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania Very soon, Tanzania is going to face political instability and great transformation

    Ukijumlisha na hili La chinga kukimbizwa muda simlefu majibu yatapatkana
  3. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania Muonekano mpya wa Mfungwa Ole Sabaya huu hapa

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  4. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania Arusha: Rais Samia atoa TZS 520BL sawa na 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka

    Huu ni chochezi wa kiwango cha lami yaan serikali itowe pesa alafu wewe unatuletea ngonjela kuwa mama katowa pesa! Hivi ni kweli umeongea kwa kufikiri
  5. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania Sijamwelewa Waziri Mkuu amemaanisha au ndiyo kusema ukiitwa mbele ya mfalme lazima umfurahishe

    Ila hizi kampeini zinazo endelea mapema hivi Sina hakika kama zinanianjema Tulisha aminishwa kuwa baada ya uchaguzi mkuu kumalizika kama taifa tunatakiwa tuweke siasa pembeni ili tupate muda wa kufanya kazi za kujenga Taifa letu, Sasa hii Habari ya kufikilia chagu za 2025 binafisi sioni...
  6. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania Suala la Wamachinga limefika Pabaya

    Mkuu machinga Hana kosa, wakulaumiwa ni yule aliyewapa uhalali wa kuweka vibanda mpaka kwenye milango ya maduka kwa kigezo cha kwamba wao ndio waliompigia Kura, na ili kuhalalisha aka waletea na vitambulisho kwa malipo 20000, kwahiyo wakati tunatazama kelo zinazo sababishwa na machinga ni...
  7. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

    Mwanza mwanza!!! Asante kwa taarifa
  8. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya alimaanisha nini kwenye mchoro huu?

    Hilo limzimu linajimwambafai kuwa juisi yake huwa ni damu, na pembeni lina ak47 mama akilizidi mchezo tu kazi anayo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  9. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya alimaanisha nini kwenye mchoro huu?

    Mkuu angalia vizuri Hilo draft anayetakiwa kusukuma kete ni mama na kwa namna jinsi alivyotegwa kila kete atakayo igusa inaliwa
  10. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania Kuteua Waziri mwanamke Wizara ya ulinzi ni sawa?

    Ngoja kwanza wahusika waje
  11. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania Namna ya kumiliki Brand

    Barikiwa Sana mkuu
  12. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania Manara asitudanganye tena usiku wa leo amepata ajali

    Bora arsenal mechi 3 goli 1 ila hwandugu zetu wanatia kinyaa[emoji1664][emoji1664]
  13. Lolen 2

    JamiiForums Tanzania PICHA: Rais Samia na Peter S Greenberg wakiandaa Royal tour lakini hakuna 'social distancing'

    Wivu tu ndio unaokusumbuwa
Back
Top Bottom