Recent content by loisaibulu

  1. L

    Niulize chochote kuhusu Lushoto

    Na pia mkapa amejenga hotel ya kitalii huko
  2. L

    Nimekutana Live na GWAJIMA..kwenye daladala...!

    inauma sana ikiwa Kiongozi dini kuzini
  3. L

    Nape Atema cheche kwa Freeman Mbowe,Mzee Mtei na Mosena Nyambabe

    sasa kama Lipumba anakula vumbi ccm si waweke lami nchi nzima. ccm watueleze jinsi bajeti itakavyo mkwamua mlala hoi. acheni userengeee
  4. L

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    May some body post the speech of Tundu Lisu that had crashed Nyerere
  5. L

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    kilichobakia ni TATIZO kuu ambalo ni TUME HURU YA UCHAGUZI. Hii TUME iliyopo sasa ni kundi la ccm na ndio limefanya matatizo kuwa makubwa mno ktk CHAGUZI zote mbazo ccm imelazimishia ushindi ikishirikina na TUME, na HIVYO kuip ccm nguvu ktk bunge kujihalalishia wingi na kujipitishia maamuzi na...
  6. L

    J. K. Nyerere: Kila siku akiamka SIGNATURE inabadilika kwa nini?

    mi Sijaona Tofauti Ya Hizo Saini, Mbona Zinafanana Tu, Herufi Kutofanana Ni Utashi Wa Mtu, Mmekosa Sababu Ya Kujenga Hoja, Au Pengine Mwalimu Alikuwa Na Harakisha Jambo Fulan Mf. Awahi Kwenye Kikao
  7. L

    CCM itachukua nchi 2015?

    Kuna wanaoamini kuwa mwisho wa ccm ni mwaka 2015. Hao wanajidanganya lakini lolote laweza kutokea watanzania. Hakuna dalili kuwa chama cha mapinduzi kitapoteza kiti chake cha urais kwa mara ya kwanza. Ni vigumu sana. Unajua ugumu uko wapi? Watanzania wengi bado wana imani na chama hiki kukongwe...
Back
Top Bottom