Umeshachelewa mama saizi mvua zinanyeesha, ila singida zaidi vitunguu vya kwa mwagilia ni kwa ajili ya kupata mbegu ni mara chache sna kulima kwa ajili ya kuvuna vitunguu, nenda maeneo ya mpambaa na ilongero watakuelekeza sehemu za kulima ila vitunguu vyenyewe vinalimwa zaidi Dominiki na...
Halafu wanawake muache roho mbaya hivi hamjui kua mpo wengi sana kuliko sisi wanaume mnadhani kama kila mwanaume akibaki na mmoja hawa wengine si mpaka wanakufa watakua hawajawahi kuonja nanihiliii.... Kueni na hurumu rai yangu kwa wanaume wenzangu tuendelee na moyo huohuo wa kuwaonjesha...
Hata singida kuna watu wanapenda vya bure na starehe pia na kumbuka maisha kwa sasa ni magumu ukiwa mtu wa totoz ndo utazika mtaji na utaanza upya, usikae singida mjini nenda vijijin kwa kuanzia unaweza kwenda vijijin kama maeneo ya Nkalakala, Mwanga Malaja Kinyambuli, anza kununua mazao...
Ila kumbuka No1 billionaire anatokea singida kwa hio acheni kusingizia mazingira mjasiriamali yeyote hutafuta mazingira yenye changamoto kubuni fursa karibu singida mkuu, ila kua makini na aina ya watu utakao chagua kua nao karibu.
Mjumbe wa amani kidogo uvuruge aman!!! Hapana endelea kua balozi wa aman bhana, pole kwa yote ubavu wako upo unakusubiri tuu haman namna muda ukifika itakua.
Asalam!
Wadau kumekua na tabia ambayo inanikera sana kutoka kwa wahudumu wa mabasi ya mwendo kasi hususani wanaokatisha tiketi, mara kwa mara ninapoenda kukata tiketi kama huna pesa kamili lazima sh 50 au 150 ibaki kwa muhudumu kwa kisingizio cha kutokua na change.
Tatizo zaidi ni pale unapo...
Mkuu ipo karibu na kituo cha palm beach , ukipanda daladala za kutoka posta kwenda makumbusho shuka palm beach upande huo huo wa kituo rudi nyuma kama hatua ishirin utaiona bendera na nembo Islamic Republic of Iran Zama ndani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.