Naomba ushauri kuna kiwanja nimekipenda kununua kina hati miliki lakini naskia gharama za kufanya transfer ni kubwa je nifanyeje ili kupunguza gharama au nitafute ambacho hakina hati militias nipime nitafute hati miliki
kiukweli tuliosoma 80s,90s and early 2000 tulidundwa kisawasawa na sheria zilikuwepo na tulinyooka tulikua na nidham.lkn sasa hivi watoto hawanaga nidham na hawana maadili kabisa.nadhan viboko virejeshwe tu bila.hivyo maadili nidham zero
Mimi navyojua ni kwamba mkataba wowote ni conset ridhaa baina ya watu parties zinazoingia mkataba any renewal of contract ni subjected to consensus ya hizo parties mbili sasa je mpangaji kama kodi imeisha alafu hajaingia makubaliano mengine kwanza huyo kashatokà kwenye status ya upangaji kwakua...
Humu ndani wadogo zetu na Watoto zetu wamekosa uhondo wakati wa ms dos ukiingia computer room ofisin unaambiwa vua viatu unakuta kapeti jekundu na screen ya chogo kubwa unaambiwa computer room AC za kizamani zinanguruma masaa 24 zinatakiwa zisizimwe mwendo wakujaza floppy kuhifadhi 100 kb...
Habari wadau,
Naomba ushauri kuna nyumba ya mzee wangu vingunguti imemeguka meguka sana matofali mpaka sehem zingine ndani zimefanya tobo unaona mpaka ndani nataka nimpe ushauri mzee ni namna gani anaweza kufanya renovation matengenezo kwenye hali hiyo je, afanyeje na kama kuvunja nyumba...
habari za jioni wadau heri ya mwaka.mpya naomba kuuliza kama nimepata coordinate za eneo usiku kwaajili ya kurasimisha kiwanja changu nawezaje kupata ramani ya mipango miji ya eneo husika na gharama yake kupata ramani ni sh ngapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.