Recent content by Loafer tanzania

  1. L

    Prof. Kabudi: Rais wa Jamhuri ana mamlaka ya kuwaagiza mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi (Zanzibar)

    Nmemsikia mwenyewe amesema Raisi anamamlaka ya mamno yote yanayohusu muungano..tatizo waandishi wetu ni makanjanja.
  2. L

    Je ni sahihi kufanya mapenzi daily kwa wanandoa?

    Mkuu kwani organism huwa inatokea specific area au huwa ni kiungo chote na mwili mzima
  3. L

    VIDEO: Majambazi wamvamia jamaa akiwa anaingia nyumbani kwake na kisha kupora

    Mkuu kama anakaa mwenyewe ulitaka afunguaje geti ili aingie ndani
  4. L

    Naomba kujua vizuri na sifa za ziada za carina si

    Sifa ingine utanunua kwa bei ya maelewano
  5. L

    Vifaa vya maabara ndogo kwa wajasiriamali

    Mbona zipo nyingi tu..wakina IITA, MIRI N.k
  6. L

    Vifaa vya maabara ndogo kwa wajasiriamali

    Unataka kipi kati ya hivyo
  7. L

    Vifaa vya maabara ndogo kwa wajasiriamali

    Leo nmewaletea vifaa kwa ajili ya kupima bidhaa mbali mbali wakati wa usindikaji. Vipo vya aina mbili: 1. Yenye range 0-32 degree. Hichi kinaweza kupima kiwango cha sukari/ uzito kwenye juisi, tomato sosi, chill sosi. Upimaji huu utasaidia kuhakikisha unatengeneza juice, tomato sosi au chilli...
Back
Top Bottom