Recent content by lnformer2025

  1. L

    Nimeambiwa mahari Millioni 18. Sina Pesa hiyo na nataka kuoa, nifanyeje?

    Inavyoonekana huyu jamaa hakuwa na mpango wa kumwoa huyo dada, kampa mimba kazaa halafu jamaa baada ya kulipa faini kakaa kimya. Hii barua aliyoletewa ni kama kumkumbusha kuwa kakaa kimya bila kuanza mchakato wa posa na mambo mengine. Jambo la msingi hapo jamaa qtume mshenga kwenda kwa wazazi wa...
  2. L

    Tuwasimange mpaka waone aibu

    Du! Lakini kuna mahali humu ndani nilikusoma ukijinasibu kuwa wewe ni mlokole.
  3. L

    Kasema hanipi mpaka niende kwao kujitambulisha na Mimi nimemwambia siendi mpaka anipemo

    Huyu jamaa sio mwoaji ila alitaka apewe Sherehe kwa kigezo cha kuoa, na akishereheshwa asepe.
  4. L

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mkuu nipe mimi hiyo kazi nitaifanya kwa ufqnisi hadi mwenyewe utapenda.
  5. L

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    INSIDER MAN na ujanja wake wote wa kutafuna wanawake warembo wengi hakuwahi kumpata bikira ndio kwanza Erika. INSIDER nakushauri huyo dada ndio wa kuzaa nae. Mtunze sana huyo.
  6. L

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Kwa hali hiyo bado anakupenda tena sana.
  7. L

    Wachina wakikutana nchi za kigeni hawapendani

    Nadhani hao uliowaona wewe wanafanya kazi kampuni moja, nilivyoelewa mimi ni kwamba kwa wale ambao ni wachina ila kila moja kaja kwa hamsini zake, na wakikutana huku kwetu hakuna kujuana kwa kuwa kila moja kaja kwa shughuli yake. Tofauti na sisi watanzania tukikutana nchi za wenzetu ndio ndugu...
  8. L

    Baba yangu hataki nimsaidie pesa mke wake

    Nahisi baba kapigwa tukio na ndio chanzo cha kuachana kwao ndio maana hataki hata asaidiwe kwa kuwa bado anahasira kali.
  9. L

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Baba Iryn ni kaburu lakini yeye sio m'baguzi , mtoto wake wa kwanza Scott kazaa na mswahili ( kwa maana ya mweusi) na Iryn mamake ni mweusi kwa hiyo hana baya na wanawake wa kiafrika.
  10. L

    Wazee anayejua mganga mzuri, nimeibiwa tofali zangu site

    Umekaa muda mrefu sana bila kwenda site, miezi mitano ni mingi sana halafu hakuna ulinzi wowote, usitegemee majirani na usiamini mtu .
  11. L

    Nilishawahi kuumbuka kwa mwanamke nisiemjua vizuri ila kwa sasa ndie mke wangu

    Nilivyoelewa mimi kuumbuka kwa mleta mada ni kwamba mleta mada ana gari namba B na chakavu na binti ana gari mpya kabisa Harrier new model la 60m. Kwa tofauti hiyo lazima ajisikie mnyonge.
  12. L

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Chapter iliyopita umesema mpaka sasa tayari unawatoto watano, tunajua Iryn anao wawili, na wa nyumba kubwa ni Junior, Je hawa wawili wamezaliwa toka kwa mke yupi? Ghati nae kakuzalia? Maana ulishampa taarifa huko nyuma kuwa unataka mtoto kwenye safari yenu ya mahusiano.
  13. L

    Mchumba mwanamke - MKE

    Sidhani kama hapa utapata mke sahihi, zaidi sana utapata walioshindwa maisha na wanatafuta pa kuegemea.
  14. L

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mbona kimya sana brother tunatamani kujua baada ya kumwelezea baba INSIDERMAN kule zambia kwamba umezaa nje ya ndoa, nini kiliendelea, ulichapwa viboko au? (Utani tu).
Back
Top Bottom