Recent content by lnformer2025

  1. L

    JamiiForums Tanzania Huu nao ni ukatili dhidi ya wanaume.

    Jamaa yangu aliambiwa, wewe kojoa ondoka ukitaka kiuno utapata kwa mkeo.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Mtanisamehe kwa hili

    Gari ya shemeji Nyumba ya shemeji Kula kwa shemeji Sabuni ya kufua na kuogea ya shemeji Nguo unanunuliwa na shemeji Halafu eti unawaponda wenzio hawana magari!! Wewe na wao kuna tofauti gani?
  3. L

    JamiiForums Tanzania Jamaa asomba kila kitu aluchomnunulia mpenzi wake ikiwa ni pamoja na mapazia baada ya binti huyo kusitisha mahusiano hayo ghafla

    Hata kama ni script, lengo ni kuleta ujumbe na ujumbe umetufikia watazamaji.
  4. L

    JamiiForums Tanzania Nimeambiwa mahari Millioni 18. Sina Pesa hiyo na nataka kuoa, nifanyeje?

    Inavyoonekana huyu jamaa hakuwa na mpango wa kumwoa huyo dada, kampa mimba kazaa halafu jamaa baada ya kulipa faini kakaa kimya. Hii barua aliyoletewa ni kama kumkumbusha kuwa kakaa kimya bila kuanza mchakato wa posa na mambo mengine. Jambo la msingi hapo jamaa qtume mshenga kwenda kwa wazazi wa...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Tuwasimange mpaka waone aibu

    Du! Lakini kuna mahali humu ndani nilikusoma ukijinasibu kuwa wewe ni mlokole.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Kasema hanipi mpaka niende kwao kujitambulisha na Mimi nimemwambia siendi mpaka anipemo

    Huyu jamaa sio mwoaji ila alitaka apewe Sherehe kwa kigezo cha kuoa, na akishereheshwa asepe.
  7. L

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mkuu nipe mimi hiyo kazi nitaifanya kwa ufqnisi hadi mwenyewe utapenda.
  8. L

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    INSIDER MAN na ujanja wake wote wa kutafuna wanawake warembo wengi hakuwahi kumpata bikira ndio kwanza Erika. INSIDER nakushauri huyo dada ndio wa kuzaa nae. Mtunze sana huyo.
  9. L

    JamiiForums Tanzania Tumeshakaa mwezi hatuongeleshani. Nianzishe mahusiano mapya au bado mapema?

    Kwa hali hiyo bado anakupenda tena sana.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Wachina wakikutana nchi za kigeni hawapendani

    Nadhani hao uliowaona wewe wanafanya kazi kampuni moja, nilivyoelewa mimi ni kwamba kwa wale ambao ni wachina ila kila moja kaja kwa hamsini zake, na wakikutana huku kwetu hakuna kujuana kwa kuwa kila moja kaja kwa shughuli yake. Tofauti na sisi watanzania tukikutana nchi za wenzetu ndio ndugu...
  11. L

    JamiiForums Tanzania Baba yangu hataki nimsaidie pesa mke wake

    Nahisi baba kapigwa tukio na ndio chanzo cha kuachana kwao ndio maana hataki hata asaidiwe kwa kuwa bado anahasira kali.
  12. L

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Baba Iryn ni kaburu lakini yeye sio m'baguzi , mtoto wake wa kwanza Scott kazaa na mswahili ( kwa maana ya mweusi) na Iryn mamake ni mweusi kwa hiyo hana baya na wanawake wa kiafrika.
  13. L

    JamiiForums Tanzania Wazee anayejua mganga mzuri, nimeibiwa tofali zangu site

    Umekaa muda mrefu sana bila kwenda site, miezi mitano ni mingi sana halafu hakuna ulinzi wowote, usitegemee majirani na usiamini mtu .
  14. L

    JamiiForums Tanzania Nilishawahi kuumbuka kwa mwanamke nisiemjua vizuri ila kwa sasa ndie mke wangu

    Nilivyoelewa mimi kuumbuka kwa mleta mada ni kwamba mleta mada ana gari namba B na chakavu na binti ana gari mpya kabisa Harrier new model la 60m. Kwa tofauti hiyo lazima ajisikie mnyonge.
Back
Top Bottom