hiv mwanamke akimaliz chuo yeye atakuwa na arobain na hv ss bint ndio kwanz mbichi kabisa yeye binafsi anataraji nn hapo??... itabid akubaliane na ule msemo usemao "cha ntu huliwa na ntu chuma tu ndicho kinaliwa na kutu" la cvyo ajiandae na magonjwa ya moyo
Habari zenu wana jukwaa na wakubwa shikamoo kwenu,
Ni mtu wangu wa karibu sana ni binti mwenye miaka 26 tatizo lake kuu alipima HIV mwaka 2012 akakuta positive lakini kajitunza hadi leo hii CD4 zipo juu hatumii dawa kabisa zaidi ya seprine tu.
Sasa hofu yake je ataweza kuolewa kweli ktk hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.