Recent content by lizybert

  1. L

    Ana virusi vya UKIMWI, je ataweza kuolewa?

    taj vigezo km vp nione km atafuz am vp
  2. L

    Moyo unauma, nahitaji ushauri wenu wana JF wenzangu

    amsamehe tu han jinsi mapnz ni milima na mabonde bila hivo hakun mpnz
  3. L

    Wanawake: Tunakereka sana na zile skin tight zenu

    mie mwenyew japo c wa mwanza lkn ndio nishazoea na cwez acha kamwe...kma dar hawavai c wao inahuuu!!!!
  4. L

    Kuna haja ya kuwa na kitchen party?

    kitu vyombo tu ndio maan wanafany hakun lingine
  5. L

    Tunaomba ushauri: Miaka 37 ana Mchumba wa miaka 19

    hiv mwanamke akimaliz chuo yeye atakuwa na arobain na hv ss bint ndio kwanz mbichi kabisa yeye binafsi anataraji nn hapo??... itabid akubaliane na ule msemo usemao "cha ntu huliwa na ntu chuma tu ndicho kinaliwa na kutu" la cvyo ajiandae na magonjwa ya moyo
  6. L

    Ushauri: Anasema tuachane lakini tuwe marafiki, inawezekana kweli?

    kusom hujui hat pich huon huyo han lolote kwako shaurizo
  7. L

    Mataabiko ya kimaisha anayopata msaliti baada ya usaliti

    gemmy fany kunitumia kwa ufup cz wew ushaisom yote maan!!!
  8. L

    Ana virusi vya UKIMWI, je ataweza kuolewa?

    fany kunipm km vp tuongee zaidi
  9. L

    Ana virusi vya UKIMWI, je ataweza kuolewa?

    Habari zenu wana jukwaa na wakubwa shikamoo kwenu, Ni mtu wangu wa karibu sana ni binti mwenye miaka 26 tatizo lake kuu alipima HIV mwaka 2012 akakuta positive lakini kajitunza hadi leo hii CD4 zipo juu hatumii dawa kabisa zaidi ya seprine tu. Sasa hofu yake je ataweza kuolewa kweli ktk hii...
  10. L

    Natafuta mke wa kuoa

    umeona ee mie hat ctamani mkorogo
Back
Top Bottom