September 7,96 tupac alipigwa risasi za ubavuni kama ilivyotokea kwa lissu zikampata lakini dereva hazikumpata so inategemea wauaji wamekaa angle gani,kwa kesi ya lissu na tupac ni vigumu dereva kufikiwa na risasi kwasababu wauaji walikua upande wa targeted person ambako ndo risasi...
<br />Sistaduu anapokugeuza wewe ndio dingi <br />Mapenzi kidogo mizinga mingi <br />Leo atataka versace na mini skirt <br />Kesho atataka passport <br />Keshokutwa atataka tiketi aende London au America <br />Si bora nifanye part japo sio pasaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupac is on his own level man...ukifanya comparison na BIG ni kumuonea BIG Pac kamzidi vitu vingi sana notorious interms of success...impact on board n worldwide level....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujua kwamba jay z ni illuminat hauhitaji kuwa illuminat ukiona symbols wanazopotray kwenye video zao unajua....same to bwana nasibu..anavyoonesha vidole vitatu ile sio swaga ni order inabidi afanye vile ndo ..alama ya vidole vitatu ndo inatumika sana sasa hivi..angalia pia video ya drunk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.