Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Naitazama Tanzania ya miaka 15 mpaka 20 iliyopita. Nimejifunza na kushuhudia mengi. Tulikuwa na nchi ambayo ilikuwa na matatizo mengi na makubwa, ni ukweli ulio wazi matatizo tuliyo kuwa nayo kila mtu aliyashuhudia. Hiki kinachoitwa demokrasia leo ndo kilikuwa...
Nimesoma makala yako vizuri. Kweli kabisa sijaona sababu ya kukusifia, lazima niwe scientific, sifanyi hivi kwasababu ya kusapoti mabaya yanayofanyika lakini nazingatia yale uliyoandika.
Umeeleza baadhi ya mapungufu ya viongozi kama ulivyoeleza lakini kwa magufuli umeweka mbele sana hisia zako...
Jamii forums siku hizi imejaza wapika majungu wengi sana. Kila kukicha ni kuonyesha chuki tu. Mpaka itafika hatua watu watakaa kuwasema wengine. Jitu limekaa kupiga majungu tu. Kila mtu afate biznez zake, yasiyokuhusu waachie wenyewe, kila siku makonda makonda. Naona kila siku idadi ya wajinga...
Wabongo tunapenda sana kulialia mitandaoni, sasa mtu kama unatamani ujumbe unaotaka ufike kwa jamii unasababu gani ya kutaka wengine wakusemee? Kama upo bright kuliko hao unaowaita wajinga kwanini huendi kupinga wewe kwenye TV? Hayo mawazo ya kuwa tegemezi yataisha lini? Kama una mawazo yako na...
Mbona sioni kinacho bishaniwa hapo. Wote wawili wapo sahihi. Waziri katoa utaratibu wa serikali kutengeneza magari (hiki maana yake matengenezo yanayohusisha fedha ya serikali). Makonda anazungumzia wadau wake wa mkoa wa Dar kujitolea kuisaidia serikali kukarabati magari chakavu BURE. Hiki...
Kwa mtazamo wangu, Ccm inapaswa kufurahi wanapoondoka watu wenye makandokando ya ufisadi. Hawa watu wameighalimu sana ccm, mambo sasa yanageuka, ndege wanaofanana wanaenda kuruka pamoja kwenye pori linalowafaa. Huko tunakoelekea rangi halisi ya chadema itaonekana. Naamini wengi ambao walikuwa na...
Usipoelewa nchi inakoelekea hakika hata nchi haitokuelewa wewe unapoelekea. Kila mtu atambue direction yake sasa kabla ya kuhangaika na direction ya nchi
Jifunze kutofautisha biashara na siasa, unalazimisha hisia zako kwenye mipango ya watu wengine. Kama wewe una tatizo la zari kufungua ni tatizo lako pambana na tatizo lako, kwa GSM wao hilo siyo tatizo. Wewe bado una hangover za ujamaa, uchumi wa sasa siyo huo tena, amka pambana na hali yako
Habari zenu kwa ujumla?
Reference ya pendekezo langu inatokea ofisi ya NSSF Temeke. Hili linahusu kupatikana huduma zenu kuanzia saa saba mchana (13hrs) mpaka saa nane (14hrs).
Mara nyingi baadhi yetu tunaleta michango yetu muda huu na tunalazimika kuwasubiri kwa saa nzima mpaka muda huu upite...
Muacheni Mzee ahangaikie maisha yake, kwanini mnalazimisha azungumzie mambo yasiyo na faida kwake? Nadhani huu sasa ni muda wa kila mtu kufuata mambo yake
Hakika wewe sio mtu mzuri kabisa, unaandika hisia zako zilizojaa chuki, dhuluma na unafiki. Watu kama wewe ni virus kwa jamii yoyote. Unawezaje kutuhumu watu namna hiyo? Tena kwa sababu ya shida zako bila chembe ya ushahidi? Ni lini na wapi kanisa hili liliwahi kufanya unayosema? Una ushahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.