Recent content by Liwagu

  1. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Rais wa Senegal atoa msamaha kwa Mwandishi wa Habari Rene Capain Bassene aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha Maisha jela

    Siasa imetumika kumfunga, na imetumika kumuachia pia.
  2. Liwagu

    JamiiForums Tanzania BBC: "Watengenezaji wa magari duniani wanapata shida kushindana na China"

    Wasiruhusiwe nanani?.
  3. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Marekani yaishambulia kwa makombora Iran kwa walichokiita ni hali ya kujilinda dhidi ya vitisho vya Iran

    Iran Mandonga mtu kazi [emoji28]
  4. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Mke adaiwa kumuua mumewe kwa sindano yenye sumu

    Nakataa
  5. Liwagu

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Alafu wengine wkipaki dakika Tano tu,pembeni ya barabara wanakamatwa, hao wamepaki barabarani kabisa lakini mamlaka haziwaoni.
  6. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Maduka yote Tanzania yaishiwa sare za Chadema, Zimenunuliwa zote, Wananchi wanazitafuta kwa udi na Uvumba

    Msajili anasemaje[emoji28]
  7. Liwagu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Snitch ndiye mtu hatari zaidi🙌

    2017 Ilinitokea hii, sisahau maishayangu yote. Jamaa alikuwa akifanya kazi sehemu flani sasa alikuwa akija kunitembelea kazini kwangu. Tukazoeana, baada ya muda akawa rafikiangu sana sana asana. Sikumoja akaniambia anaomba nimtafutie nafasi kwenye ninapo fanyia kazi mimi kwasababu kazi anayo...
  8. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Nchi tatu za Ulaya zinaongozwa na marais mashoga; hatuna cha kushauriwa nao

    Wewe unaeleta hizi habri humu ndio unawapa umaarufu.
  9. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Bunge letu Liweke Wakalimani wa Lugha kuepusha hizi aibu za kushangilia kama Majuha kwa kutokuelewa

    Yani kuna mida flani linazungumzwa jamba lakutafakari kwa utulivu ilikuelewa mzungumzaji anaishia kwenye point gani lakini utashangaa watu wanapiga meza pwa pwa pwa. Mpaka jamaa mwenyewe anashangaa hawawatu vipi hawa. Nashangaaga sana!.
  10. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Kumbe tumefika Namba Q na hamsemi? DJ niletee 'wasiojulikana' mbele... Halafu kuna malegend wasioweka plate kabisa!

    Chinese they saw too far ahead on this!. That's why they made death sentence on corruption crime because it is the source of all barbarity.
  11. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna waziri ananunua mtaa mzima, vyombo vya usalama utafikiri hawajui!

    Dar kubwa mkuu, nimaeneogani uko.
  12. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kumsamehe Halima Mdee, napingana na John Heche

    Naunga mkono hoja,chama kinawatu wengi tu wenye uwezo, hakuna haja ya kurudiarudia watu ambao hawana msimamo. Umeandika kwa uchungu sana i know how you fill.
Back
Top Bottom