Haiwezi kutokea, na haijawahi kutokea, hatakama nchi na nchi zipo kwenye vita na maraisi wakakutana kwa moja katiyao kwa mazungumzo jambo hilo haliwezi kutokea.
Kwahatua tuliofikia nahao wa Zanzibar suluhisho hapo kama tunautaka muungano kweli twende kwenye serikali mojatu, full stop!!!.
Mambo mengine yote serikali mbili sijui tatu ama shirikisho nikupotezeana mudatu kwa vikao vya kijinga na kinafiki kujadili mambo ya muungano kila mwaka.
Serikali...
Yule sio mwenzao na wanamjuwa ni mtu wa haki, amejipenyeza tu pale kwasababu za njaa na kujijenga, tunza manenoyangu, hatapata nafasitena ya kwenda mjengini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.