Kwahatua tuliofikia nahao wa Zanzibar suluhisho hapo kama tunautaka muungano kweli twende kwenye serikali mojatu, full stop!!!.
Mambo mengine yote serikali mbili sijui tatu ama shirikisho nikupotezeana mudatu kwa vikao vya kijinga na kinafiki kujadili mambo ya muungano kila mwaka.
Serikali...
Yule sio mwenzao na wanamjuwa ni mtu wa haki, amejipenyeza tu pale kwasababu za njaa na kujijenga, tunza manenoyangu, hatapata nafasitena ya kwenda mjengini.
Wewe nimkatilisana naunafaa kuchukiwa yani unaongelea vifo vya watu kama kituchakawaida, unaposema 500 una justify nini.
Hata kama wangekufa wawili ama mmoja thamani ya uhai wa mtu hailinganishwi na kitu chochote chamsingi ni kutafuta suluhu ya kukomesha mauwaji yasitokee tena.
Namlaumu JPM kwa kushindwa kufanya maamuzi ya kubadilisha katibatu, angebadilisha na katiba iliiwabane wahuni ninge muelewa kwa asilimia 100 out of 85 za Sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.