[emoji23][emoji23] vipi mkuu, kwani mtuakicheka maanayake ndio hakumpend uliemtaja?.
Anyway, Uliemtaja pale juu kapata like 8 walio kucheka wamepata like zaidi ya 15.
Dawg,take't eazy!.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Piga kazi mkuu acha waongee we pambana tu.
Alafu naomba kuuliza swali, wewe ni mwanaume au mwanamke.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Punguza mihemko mkuu, hao nimafisadi wanajuwa walichofanya kwenye hiyo miradi ndio maana hata watukanwe na kudhalilishwa vipi hawawezi kutoka nje kwasababu wanajuwa makosayao ni dhahiri.
Mtu mwenye akilizake timamu ambae anaijua. Kaziyake na hana baya hawezi kukubali kudhalilishwa.
Sent from...
Nchi inakosa maendeleo yanayo stahili kwasababu ya wanafiki wajinga kama hao, wanajua sana kinacho maanishwa lakini wanajitoa akili kwasababu ya njaa naubinafsi.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Huku kwetu mtu akihakikishiwa kujazwa tumbolaketu anakenua meno na kupiga meza pa, pa, pa, pa.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Kwamajibu haya basi kazi ya uwaziri ni rahisi sana.
Amejibu kama yupo kijiweni anapiga stori na wanywa kahawa.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Atakuambia Magufuli anazuiya wasipelekwe mahakamani [emoji23][emoji23].
Hayo majitu hovyo sana..
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ujinga wa deportation ukifika uko unakutana na mashtaka eti umeondoka nchini bila ninisijui, unatajiwa fine kama huna unapigwa miezi kadha segerea.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
CCM kamwe hawawezi kuichagulia CHADEMA viongozi hata siku moja.
Siku ukija kugundua michezo ya DJ nadio utajua ujui!.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.