2017 Ilinitokea hii, sisahau maishayangu yote.
Jamaa alikuwa akifanya kazi sehemu flani sasa alikuwa akija kunitembelea kazini kwangu.
Tukazoeana, baada ya muda akawa rafikiangu sana sana asana.
Sikumoja akaniambia anaomba nimtafutie nafasi kwenye ninapo fanyia kazi mimi kwasababu kazi anayo...
Yani kuna mida flani linazungumzwa jamba lakutafakari kwa utulivu ilikuelewa mzungumzaji anaishia kwenye point gani lakini utashangaa watu wanapiga meza pwa pwa pwa.
Mpaka jamaa mwenyewe anashangaa hawawatu vipi hawa.
Nashangaaga sana!.
Naunga mkono hoja,chama kinawatu wengi tu wenye uwezo, hakuna haja ya kurudiarudia watu ambao hawana msimamo.
Umeandika kwa uchungu sana i know how you fill.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.