Recent content by Liwagu

  1. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Niujinga kuamini vitu visivyo eleweka!.
  2. Liwagu

    JamiiForums Tanzania TEC sitisheni mara moja mpango wa kumfanya Nyerere Mtakatifu, ni jambo la hasara zaidi kuliko faida.

    Wewe ni kilaza?. Unavyosema taifa litakuwa halijatendewa haki unamaana gani, kwani wanamtafuta mtakatifu wa Taifa?.
  3. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Kutekwa kwa Kazungu ni unyama unaoichafua nchi- Ado Shaibu

    Unahangaika kumjibu mtu mwenye akili timamu lakini ameamua kujifanya kama juha.
  4. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wamuomba Rais Samia fursa ya kusafiri naye nje ya nchi. Awakubalia

    [emoji1787][emoji1787]
  5. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Kama hawataki serikali moja basi tugawanefito tu.
  6. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Kwahatua tuliofikia nahao wa Zanzibar suluhisho hapo kama tunautaka muungano kweli twende kwenye serikali mojatu, full stop!!!. Mambo mengine yote serikali mbili sijui tatu ama shirikisho nikupotezeana mudatu kwa vikao vya kijinga na kinafiki kujadili mambo ya muungano kila mwaka. Serikali...
  7. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Nataka nizungumzie matumizi ya jina Samia, limekuwa linajirudia rudia haipendezi

    Unaweza ukataja jina alafu mambo yakawa kama kwenye shoo miaka 30 ya bongo flaver inabaki aibu. Watu wanaona mbali.
  8. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Unapozomewa ni tafsiri watu hawakuheshimu kama unavyofikiria. Hawakuonei haya

    Walio andaa hilotamasha walilala na viatu.
  9. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Unapozomewa ni tafsiri watu hawakuheshimu kama unavyofikiria. Hawakuonei haya

    Yule sio mwenzao na wanamjuwa ni mtu wa haki, amejipenyeza tu pale kwasababu za njaa na kujijenga, tunza manenoyangu, hatapata nafasitena ya kwenda mjengini.
  10. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Kutoka kwenye CHADEMA haiwezi kuishi bila ruzuku mpaka kufuatilia tone tone

    Ukikaapembeni wewe inatosha pia, muwe hata na aibu kidogo nyie machawa wafia ugali.
  11. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Kati ya chama kilichowaua watu ,kufanya utekaji na anayedai haki nani ni Gaidi ?

    Wewe nimkatilisana naunafaa kuchukiwa yani unaongelea vifo vya watu kama kituchakawaida, unaposema 500 una justify nini. Hata kama wangekufa wawili ama mmoja thamani ya uhai wa mtu hailinganishwi na kitu chochote chamsingi ni kutafuta suluhu ya kukomesha mauwaji yasitokee tena.
  12. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Watu Billioni 8 Wahudhuria Mazishi ya Khamenei Huko Iran? Mabilioni ya Watu Yaenda Iran kwenye Mazishi

    Ivi unajuwa Dunia inawatu wangapi, ama unajumlisha na marehemu!.
  13. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Katambi: Mwenye ushahidi kuhusu watekaji aniletee

    Mungu anamuona
  14. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Kutoka 'Kaisari wa Wanyonge' hadi 'Kiwanda cha Machawa': Je, JPM ndiye aliyetuharibia siasa zetu au waliomfuata wamezikuza?

    Namlaumu JPM kwa kushindwa kufanya maamuzi ya kubadilisha katibatu, angebadilisha na katiba iliiwabane wahuni ninge muelewa kwa asilimia 100 out of 85 za Sasa.
Back
Top Bottom