Recent content by Liwagu

  1. Liwagu

    Je, ni Rais gani aliyependwa kuliko wote Tanzania?

    [emoji23][emoji23] vipi mkuu, kwani mtuakicheka maanayake ndio hakumpend uliemtaja?. Anyway, Uliemtaja pale juu kapata like 8 walio kucheka wamepata like zaidi ya 15. Dawg,take't eazy!. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  2. Liwagu

    Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

    Piga kazi mkuu acha waongee we pambana tu. Alafu naomba kuuliza swali, wewe ni mwanaume au mwanamke. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  3. Liwagu

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Punguza mihemko mkuu, hao nimafisadi wanajuwa walichofanya kwenye hiyo miradi ndio maana hata watukanwe na kudhalilishwa vipi hawawezi kutoka nje kwasababu wanajuwa makosayao ni dhahiri. Mtu mwenye akilizake timamu ambae anaijua. Kaziyake na hana baya hawezi kukubali kudhalilishwa. Sent from...
  4. Liwagu

    Luhaga Mpina katumwa na nani?

    Mtoe uyo mtumishi wa Mungu apo. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  5. Liwagu

    Luhaga Mpina katumwa na nani?

    Stupid mind!. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  6. Liwagu

    Luhaga Mpina katumwa na nani?

    Nchi inakosa maendeleo yanayo stahili kwasababu ya wanafiki wajinga kama hao, wanajua sana kinacho maanishwa lakini wanajitoa akili kwasababu ya njaa naubinafsi. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  7. Liwagu

    Bunge la Marekani lapitisha muswada wa kuifungia TikTok

    Huku kwetu mtu akihakikishiwa kujazwa tumbolaketu anakenua meno na kupiga meza pa, pa, pa, pa. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  8. Liwagu

    Waziri Simbachawene: Huenda Mpina ana ajenda. Uongozi wa Rais Samia uko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote

    Kwamajibu haya basi kazi ya uwaziri ni rahisi sana. Amejibu kama yupo kijiweni anapiga stori na wanywa kahawa. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  9. Liwagu

    Kamati ya kuombea msamaha watuhumiwa wa report ya CAG wamemaliza kazi

    Kama hayo unayo sema nikweli na yatafanyika katika nchi hii basi hii nchi ni Takataka. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  10. Liwagu

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Nawewe unamuamini uyo Amerika!. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  11. Liwagu

    Kinana nyoosha maneno Hayati Magufuli hakupora fedha halali za wananchi wema, bali aliwanyanganya mafisadi pesa za umma walizopora

    Atakuambia Magufuli anazuiya wasipelekwe mahakamani [emoji23][emoji23]. Hayo majitu hovyo sana.. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  12. Liwagu

    Tetesi: Ubalozi wa Tanzania Uturuki unashirikiana na jeshi la polisi la Uturuki kuwadeport Watanzania

    Ujinga wa deportation ukifika uko unakutana na mashtaka eti umeondoka nchini bila ninisijui, unatajiwa fine kama huna unapigwa miezi kadha segerea. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  13. Liwagu

    Mchungaji Peter Msigwa abainisha kuwa hakuna mpango wa kugombea uongozi ngazi ya taifa

    CCM kamwe hawawezi kuichagulia CHADEMA viongozi hata siku moja. Siku ukija kugundua michezo ya DJ nadio utajua ujui!. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  14. Liwagu

    Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

    I think he's out of his mindset!. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  15. Liwagu

    Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

    Inchi inawajinga wengi mkuu!. Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom