Nadhani yeye anafikiri kulipa ni "optional" hajui kama ni wajibu kwa maelekezo ya sheria husika. Anahisi pesa ni zake za serikali yake, kumbe pesa zote ni mali ya Taifa...Taifa limewaajiri watumishi mbalimbali na wengine ndio hao wanaolidai Taifa kama mwajiri. Taifa hufanya shughuli zake kupitia...
Hahahaha "agizo kutoka juu" eti. Ni mwendo qa kukomesha na kuwaburuza wapinzani kwelikweli utadhani wao ni wahamiaji haramu au wamefanya jaribio la uhaini. Tuombe Mungu tu aisee!
Hahahaha sio michezo ni utaratibu wa Common Law Legal system kwamba maamuzi ya mahakama za juu hutusaidia kama sheria hasa katika mazingira ambayo sheria haikufanya "coverage" ya jambo fulani sawa sawa.
Tarehe 11/01/2017 ndugu NDAHANI N. MWENDA alipoandika katika ukurasa wake wa facebook taarifa ya Mhe. PETER LIJUALIKALI mbunge wa KILOMBERO kufungwa jela miezi 6 bila kupewa alternative ya kulipa faini kwanza; aliomba ufafanuzi wa kisheria iwapo mahakama ilifanya haki au sivyo! “Naombeni msaada...
*LEO TV1 IMEPWAYA KATIKA KIPINDI CHAKE*
(NAIKOSOA KWA UVIVU WAKE)
Leo tarehe 12 January 2017 katika kipindi chake maarufu _*MAWAZO PEVU*_ baada ya habari mada ilikuwa ni MIAKA 53 YA MAPINDUZI NA MAENDELEO YA UCHUMI WA ZANZIBAR.
Japo mimi siyo msomi wa Habari lakini baada ya kutazama mjadala wa...
Kupitia ukurasa wake wa Facebook Mathias Canal wa Irimba yapo maswali kadhaa (zaidi ya 10) ambayo yeye amesema yameandikwa na Thadei Ole Mushi;
Nimeona nitumie nafasi na muda nilionao kuchangia kujibu swali la Kwanza (swali no. 1) ambalo litajibu 'automatically' na swali la 11 na mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.