Recent content by living fisher

  1. living fisher

    Ulianzaje kujenga?

    Katiaka awamu ya kwanza nilijenga mpaka kwenye cozi tatu
  2. living fisher

    Ulianzaje kujenga?

    Baaada ya kununua kiwanja nilijenga kwa awamu Tatu na nimerumia almost miaka miwili na nusu 1)awamu ya kwanza nilitafuta milioni 10 nikanunua mifuko ya sementi, tofali,nondo, nikalipa fundi, jenga ukuta na kuchimba mashimo ya vyoo 2) awamu ya pili nilikaa miezi kama 12 nikapasahau pakaota...
  3. living fisher

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    Kwani ni Mara ya kwanza mitihani kuvuja? Wakati wa rizki yako bado haujafika, acha walio pata pepa wakale maisha. Maisha sio mitihani ya utumishi tuuu #Kun faaa Yaquun
  4. living fisher

    Nimedhulumiwa MilionI 10, siku ya Tano sasa sijapata Usingizi

    Kuna sehemu panaitwa ndeme kwa kina Makamba huko Bumbuli Tanga huyo mtu anarudi mchana kweupe na utamkamata, Au Pangani kwa maulamaaa wakapige kitabu
  5. living fisher

    TANZIA Mfanyabiashara Haroon Zakaria Afariki Dunia

    Hapana ana mkataba wa kukunua sukari ya mtibwa tu mfano Sukari ya TPC ya moshi mwenye mkataba ni MARENGA invst na SETway/Laswai
  6. living fisher

    Ni zipi mbinu za kudhibiti wizi kwenye duka la jumla?

    Boss hakuna njia ya kuzui kuibiwa ila kuna njia za kupunguza kuibida yaaani wizi ufanyike kwa uchache 1) tenganisha duka na stooo weka kumbuku kumbu ya mali inayoingia stoo 2) funga kamera mlangoni stoo kisha kila mali inayotoka stoo kwenda dukani/ kuuzwa lazima iandikwe 3)kazi yako kubwa...
  7. living fisher

    Msaada wenu tafadhali wanaJF, maji yamezidi unga

    Kuna jamaaa wanajiiita FANIKiWA ebu ruka nao
  8. living fisher

    Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

    [emoji23][emoji23] ase mariam umenifundisha jambo hasa hsa kutokuweka imani kwa demu
  9. living fisher

    Ndoa nyingi kuvunjika chanzo chake ni kutokuwa na utayari

    Mapungufu gani ambayo kikawaida mtu anatakiwa kuyapokea kutoka kwa mwenza wake?
  10. living fisher

    Mkopo binafsi (personal loan) kwa dhamana ya nyumba isiyo na hati

    Kama uko na offer unaweza kwenda benki chukua mkopo ila kiasi utakachopewa hakitozidi mill 30 ila ukipata hati kuanzia 50mill mpaka unapotaka ww
  11. living fisher

    Paypal account on hold

    Papi shmoney....muaminifu balaaa
  12. living fisher

    Paypal account on hold

    Mtafute mtu anaitwa papysh money Instagram hapo verifications ya aina yyte anasolve
  13. living fisher

    Mgogoro wa Namanga kati ya Kenya na Tanzania utazamwe sana, sio haki

    Kinacho luhusiwa kuingia huku ni bidhaa za watanzania ambazo tayali walishazilipia cash kwa hiyo ukizuia magari ya yanayotokea kenya kuiingia Tanzania ...unabaki kuwaumiza wafanya biashara wa Tanzania mana wao ndio wanamali
Back
Top Bottom