Recent content by Livejr

  1. L

    Belouizdad ni timu mbovu sana, Yanga wasiwe na presha

    Umeona mechi za Ahly Vs Belouizdad na kuona za mkakati na mchongo lakini uneshindwa kuona Mechi ya Yanga Vs Belouizdad? [emoji3][emoji3]
  2. L

    Funzo kwenye mazishi ya Lowassa, andika historia yako mwenyewe usisubiri kuandikiwa, na mwisho wa ubaya ni aibu

    Unakuta mtu yupo Kizimkazi huko anakuja kulalama humu kuwa Kikwete alimsaliti Lowassa, ukiuliza alimsaliti kwenye nini, hakuna majibu ya kueleweka. Kilichotokea Baina ya Kikwete kilipangwa kitokee, na wanaojua hasa ni Kikwete na Lowassa. Hata angesifiwa Kikwete leo, isingebadili ya kile...
  3. L

    Tumpe nani maua yake kati ya Steve Mweusi ama Kicheche?

    Ukae kitako na Stress zako ili muyamalize. Ugumu wa Maisha ni Chanzo cha sonona na msongo wa mawazo
  4. L

    Taja kikosi chako bora cha AFCON mpaka muda huu

    Rudia tena Kuhusu Diarra [emoji2301] Williams ana Cleansheat 4 Diarra ana ngap?
  5. L

    Aibu TANZANIA tumeshindwa kupeleka mashabiki AFCON

    Ila Hii nchi kwa Malalamiko!
  6. L

    Picha ya Catherine Magige na Januari Makamba ina uhusiano na kauli za Magige?

    Mkuu Mbona kama huna akili? Hii picha unayosema imevuja mbona kama ipo Instagram? Kana kwamba ni siri
  7. L

    Ushawishi wa Makonda ni mbingu na ardhi na wa Nchimbi

    Ushawishi wa matra***oo
  8. L

    Kocha Gamond tunakuelewa, Mapinduzi Cup haijawai kuwa na tija yoyote

    Kwani kikosi cha kwanza huko Yanga ni wachezaji 14 na sio wachezaji 11 au wenzetu mnacheza Rede kama inavyoonekana kwenye Nembo yenu kuwa Rede ni sehemu ya michezo yenu hapo Klabuni
  9. L

    Simba bado haijaiva

    Sasa Kwa nini usiende kumsaidia Gamondi ile jana dhidi ya APR kama unaweza kujua matatizo ya jirani yako [emoji3]
  10. L

    Tuwe wakweli, spirit ya Yanga ya kusawazisha na kushinda haipo Simba

    Yanga ndio alianza kufunga lakini, Azam aka-level au
  11. L

    Siasa Michezoni (Simba vs Al Ahly): Azam TV wanapaswa kuonywa, kuadhibiwa au kufungiwa!

    Sasa kama unebaki na DSTV, achana na watu wa Azam. Weka hizo sheria na hilo bango
  12. L

    Siasa Michezoni (Simba vs Al Ahly): Azam TV wanapaswa kuonywa, kuadhibiwa au kufungiwa!

    Kama Watanzania wenyewe ni sampuli yako ya ‘biashala’ basi wafanyabiashara hawana haja ya kuogopa
Back
Top Bottom