Ina maana Taifa Stars imeanza kucheza baada ya siasa za Samia?
Ni mwaka gani Taifa Stars ilijaza Uwanja? Wabongo maneno meeengi, ila kiukweli hawapendi Mpira, wanapenda Simba na Yanga.
Kwa hiyo akiwa Shoga ni shida ila akiwa anajula Mashoga ni fresh tu? Kwa sababu hawa wanaokula, wanasababisha uwepo wa wanaouliwa.
Na vipi wanawake wanaoliwa, huwa wanateuliwa huko Serikalini?
Wewe mwenyewe hujui chochote kuhusu uwakala na Biashara ya Soka kwa upabde wa Wachezaji.
Na kama Yanga imemkuza Mzize na wamemjengea Brand, si wamuuze huko Kuwait? Wanasubiri nini?
Nimeangalia dakika 5 tu za mchezo, ila nimeona kabisa hii mechi imemshinda na ameshindwa kumudu. Ni Ubabe tu na kutoa Macho kwa wachezaji ndio kitu anajua.
Professional: Economics & Finance
Exp: 5 years working in NGOs
Areas of experience: Project Management, Budgeting, proposal writing, Coordination, SPSS, Data Analysis (Excel) and et cetera
Unakuta mtu yupo Kizimkazi huko anakuja kulalama humu kuwa Kikwete alimsaliti Lowassa, ukiuliza alimsaliti kwenye nini, hakuna majibu ya kueleweka.
Kilichotokea Baina ya Kikwete kilipangwa kitokee, na wanaojua hasa ni Kikwete na Lowassa. Hata angesifiwa Kikwete leo, isingebadili ya kile...
Kwani kikosi cha kwanza huko Yanga ni wachezaji 14 na sio wachezaji 11 au wenzetu mnacheza Rede kama inavyoonekana kwenye Nembo yenu kuwa Rede ni sehemu ya michezo yenu hapo Klabuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.