Kuomba msamaha sio lazima wewe uhisi kuwa ulilenga kumkosea mtu fulani.Lakini pamoja na dhamira yako njema unaweza kuona kuna watu hawaja kuelewa na wanaonekana wamekwazwa.
Ndio maana watu hujihudhuru kwa makosa ya watu wengine.
Kwanza nianze kusema nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Mh.Bashe alitamka maneno yale kwa lengo la ubaguzi wa kidini na pia naamini hakutamka kimakosa.
Na pia naamini kuwa Mh. Bashe hawezi kujua kuwa wakristo wapo ktk mfungo kwa kuwa sio tamaduni zao kutangaza wafungapo.
Wakristo wanafunga nyakati...
Huyu biteko anazeeka vibaya sana.
Kabla hajawazuia kwa mamlaka niliyopewa namuuliza biteko anao ushahidi kuwa hao wafanyakazi ndio walio saini mkataba wa Richmond, kagoda, IPTL, Dowans na Dpworld?
Au anao uhakika ndio walio beba mijela ya walipa kodi wengine kwenye sandarusi, magunia, vikapu...
Haya ma ccm ni mabingwa wa upotoshaji na urongo.
Tanganyika ilijipatia uhuru wake mwaka 1961 haya majambazi yakapora uhuru wa Tanganyika na watu wake na kuipa nchi isiyojulikana ya Tanzania bara.
Ukiyaangalia usoni yakivaa suti utafikiria yamesoma kumbe ni ma mbumbumbu tuu yalizidiwa akili na...
Hata madaktari na wanasayansi wanapofanya majaribio na utafiti wao kama ni tiba huwajaribu wanyama wakipona basi tiba hiyo hupewa wanadamu.
Kama dawa au upasuaji haukufanikiwa kwa kitu halisi basi binadamu hawezi kufanyiawa au kupewa dawa hiyo.
Sasa CCM wameshindwa kutengeneza sanamu tu ambalo...
Afadhari ya mchawi unajua ni adui kuliko huyo Mzee wa msoga.
Ningekuwa ni mimi ningeandika Wosia kabisa nikifa asifike msibani wala sitaki kuzikwa na chama cha wanafiki.
Nimefurahi maamuzi ya familia kuto onesha mwili wa Lowasa kwa wanafiki.
Ni majitu yale yale yaliyo iba kura za mzee Lowasa 2015 kwa bao la mkono ndio yaliyo taka kuiba CV ya mzee Lowasa tena akiwa amelala.
Dakika za jionii kabisaa mahafidhina ya ccm yakiwa yakiwa yapongezana yakifikiri yamefanikiwa kufanya ukatiri wao dhidi ya mtu akiwa hai na hata pale ametwaliwa...
Lililuwa jaribio zuri sana shambulio lilitengenezwa toka nyuma ikapigwa kross the ball was on the space but the man wasn't in the space.Ilikuwa almanusura ugomvi wa watekaji na watekwaji uamuliwe Amri toka juu
Ni jaribio zuri sana japo limekwenda off target.
Kwako mtangaji studio
Makonda anapenda aolewe yeye badala ya mzungu. Kwasababu wapo raia kibao Tanzania wameowa wazungu Remmy Ongala alioa mzungu wapo wana muziki na raia wa kawaida tuu wameoa wazungu.
Makonda anaona wivu gani Lissu kuoa mzungu ili hali Lissu hataki kumuoa?
Hebu fikiria nchi kama Kongo inapigana Vita miaka na miaka lakini timu yao ya taifa imeingia Nusu fainali mashindano ya mataifa huru Africa.
Tanganyika imetolewa mapema ikiwapeleka akina Mwijaku na Baba Levo uwanjani na wananchi wanalala gizani umeme shida.
CCM haina cha ziada chq kuwafanyia...
Kumbe Mwinyi kaletwa na Dikteta uchwara tulifikiria alichaguliwa na wananchi wenyewe ktk uchaguzi feki. Asante kwa taarifa.
Kuni ziongezwe huko aliko kwa kupora mamlaka ya watu na mauaji ya wasio na hatia
Hizo ndizo kazi za ibilisi na malaika zake kuua kuharibu na kuangamiza.
Ndio maana tunapoikata ccm huwa tuna sababu za msingi.
Hata kama ccm itabakia peke yake hakika kama Mungu aishivyo sitakuwa mwana ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.