mbna kitoga wenu alisema ukawa wakichukua nchi patakuwa kama libya na hamkupayuka? mnachunguza sana ya wapinzan kulko yenu?..tume ishasema hayo n maneno ya kisiasa, kaen mtulie
kaul za kikwete kuwa watakao kusanyika hawatavumiliwa na wapga kura wako milion 23 znamaanisha nin?...tufanye mambo yawe pasu kwa pasu, kama tume ya uchaguz iliposema NI MANENO YA KAMPENI NA WAOMBA KURA.. unamkumbuka yule wa ccm aliesema ukawa ikichukua nchi patakuwa kama libya..
sishangai tume...
huyo maguful anayezungumzia samaki, yy ndie alikurupuka akakamata wavuvi halal..kilchofuata ni hasara ya mabilion kwa serikal..huyu ----- ana maamuz ya kukurupuka
naomba unitajie majna ya masanii waliopanda jukwaan kuutmbuiza kabla lowasa hajahutubia..
Wenzetu ccm wanaraha,had ali kiba na ya moto band wanatumbuiza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.