Ikiwa ni kweli haya usemayo, Mchukue huyu mwenye mtoto huyo ambaye bado hujamzalisha atachukuliwa tuu na mtu mwingine. Siku ukifanya haya maamuzi upendo juu yake utakuja. Hakuna uyakachokipata cha ziada kwa huyu ambaye hajawa na mtoto.
Ukilala na mke wa mtu tabia zake zitakuingia nawe utamwambukiza Mkeo hizo Tabia chafu utakapolala Naye . Mkeo ataanza kubanduliwa mbele ya macho yako . ''Apandacho mtu ndicho atakachovuna"
Wewe! umelala na ndugu yako wa damu halafu unakuja hapa kuomba ushauri? Kwa nini hukuomba ushauri kabla hii laana haijakupata? Hukufunzwa katika dini yako kuhusu ndugu wa damu? Subiria laana yako hapa hakuna cha kukusaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.