Recent content by Litmus

  1. L

    Naishi naye ndio, Lakini...

    Ikiwa ni kweli haya usemayo, Mchukue huyu mwenye mtoto huyo ambaye bado hujamzalisha atachukuliwa tuu na mtu mwingine. Siku ukifanya haya maamuzi upendo juu yake utakuja. Hakuna uyakachokipata cha ziada kwa huyu ambaye hajawa na mtoto.
  2. L

    Nahisi nina pepo la ngono. Mi ni mwanamke...

    Unaijua kweli lakini hutaki kukaaa katika huyo kweli. Fuata kweli itakusaidia
  3. L

    Jirani yangu anatembea na mwanafunzi!

    Ijulishe serikali tafadhali
  4. L

    Ewe mwanamke, fanya haya kuimarisha mahusiano yako

    Umetumia Hekima yako vizuri utapata thawabu
  5. L

    Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

    Na hivi ndivyo mlivyomshuhudia Muumba wenu kwa uchafu mlioufanya. Mtapata Sawa Sawa na mlivyotenda
  6. L

    Uvumilivu unanishinda, nashindwa kutunza usichana wangu

    Kama jina lako lilivyo! Pipi Jojo zinaa ni mbaya Subiri upate Mume usiwaonjeshe wanaume Pipi yako
  7. L

    Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu

    Usije ukathubutu kuua. Mwache akuzalie mtoto. Aibu ni ya Wakati mchache lakini jeraha la kuua ni la Siku zote utakazoishi. Yangu ni hayo tuu
  8. L

    Shemeji ananitaka au mawazo yangu tu?

    Akili yako ikiwa na kazi ya kufanya hutamwaza shemeji yako. Pambana uwe na kazi ya kufanya
  9. L

    Athari gani naweza kuzipata kwa kutoka na mke wa mtu?

    Ukilala na mke wa mtu tabia zake zitakuingia nawe utamwambukiza Mkeo hizo Tabia chafu utakapolala Naye . Mkeo ataanza kubanduliwa mbele ya macho yako . ''Apandacho mtu ndicho atakachovuna"
  10. L

    Baada ya kumtoa usichana, binamu yangu anataka tuwe wapenzi lakini naogopa

    Wewe! umelala na ndugu yako wa damu halafu unakuja hapa kuomba ushauri? Kwa nini hukuomba ushauri kabla hii laana haijakupata? Hukufunzwa katika dini yako kuhusu ndugu wa damu? Subiria laana yako hapa hakuna cha kukusaidia
  11. L

    Penzi la kushtukiza huwa na ladha ya kipekee sana

    Ngono tena! Mimi nilishaacha hii tabia mbaya nimemrudia Muumba
  12. L

    Verossa

    Verosa tena. Ok kwaheri
  13. L

    Nilimpenda msichana kumbe ni jini, amenitesa sana

    Kwa kuwa Yesu amekusamehe dhambi zako enenda zako usitende dhambi tena
  14. L

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Sodoma na Gomora iliteketezwa kwa sababu ya huo upuuzi
Back
Top Bottom