Kama watoto wa Dada zangu wawili wa kike niliowapeleka Depo mmoja Polisi na mwingine TAKUKURU na wote wamemaliza Depo mwaka huu basi naamini na wewe utamaliza tu,watoto walikuwa Mayai hao hatari,yaani mpaka chupi zao nyumbani kwao walikuwa wanafuliwa na Mashine,kuosha vyombo tu shida anaweza...
Ngumi NDOIGE itawapata watu leo huko Khartoum,NDOIGE kwa mujibu wa Mandonga Mtu Kazi ni Ngumi inayopinda kona,hivyo Yanga wakikaa Nyuma WANAYO,wakikaa MBELE wanayoo,imeisha hiyo[emoji28][emoji28]
Ni matumaini yangu Ndugu KYAGATA utajiandaa vizuri kwa USAILI huu, kuna siku mlijibizana na jamaa fulani humu lakini lengo lake lilikuwa ni kukushauri upunguze pressure na lawama dhidi ya Sekretarieti.
Ulivyofanya leo ni sahihi kuomba mtu mwenye any idea na USAILI husika. Ni vizuri kuvuta...
unipokee wewe unayeenda Kampala kwa siku mbili kisha unakimbilia JF kuanzisha Uzi eti Uganda ni zaidi ya Tanzania kimaendeleo!!!kama watoto wa Dadako hawataki kukupisha uvae basi ujue siku sio nyingi Shemeji yako ataanza kukusukumia moto na wewe!!!mtu makini hawezi kufikia kwa Dada au Ndugu...
Acha ujinga wa kuanzisha UHARO JF kila muda,just grow up. Kila siku UHARO tu unaanzisha,uende Kampala siku mbili ukimbilie kuanzisha Uzi JF eti Uganda imeizidi sana Tanzania kinaendeleo,khaaa!!!mara watoto hawataki kutoka sijui ili uvae nguo,so unaandika JF UHARO kama huo ili sisi tusemaje kwa...
Acha utoto wa kuanzisha nyuzi za kijinga JF!!hakika ukosefu wa Ajira ni janga la Taifa!!!kutwa kuanzisha nyuzi za KIPUUZI tu,shenzi kabisa[emoji57][emoji57],grow up
Hivi unafanyaga kazi saa ngapi??maana kutwa ni kuanzisha nyuzi JF[emoji57][emoji57]waombe mods waanzishe shindano kwa watakaoanzisha nyuzi nyingi,hakika utashinda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.