Recent content by linous

  1. linous

    Safari ya Mwanza - Dar Kwa bus ni adhabu

    Y Tatizo la hawa jamaa wapo rough sana njiani , kulishwa vioo ni dakika .Jamaa ingawa kuna vts ila chuma inalazwa mshale hadi 140kph
  2. linous

    Safari ya Mwanza - Dar Kwa bus ni adhabu

    Walau ungepanda zile Marco polo G7 za katarama....zipo more comfortable sana
  3. linous

    Safari ya Mwanza - Dar Kwa bus ni adhabu

    Kipindi hakuna haya mambo ya vts,ubungo unatoka na Allys sport (SCANIA 114) saa 12 asubuhi na nyegezi chuma inamwaga upepo saa 2 usiku au saa moja unusu...Zile chuma zilikua zinaitwa ndege za ardhini.
  4. linous

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    27 people are here
  5. linous

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Haya mambo yanafikirisha sana....ukiweka pembeni imani zetu hizi unagundua kuna vitu vingi sana ni kama tulikaririshwa na watangulizi wetu.
  6. linous

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Naona tupo 18 hapa tunasubiri Simba alete vitu
  7. linous

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Daaaah hii story ni balaa
  8. linous

    Wazazi mmekuwaje?

    Na wale tuliotoa mahari alafu hakuna cha ndoa mwaka wa 3 sasa, tupo kwenye kundi gani?
  9. linous

    Huko ulipo lita moja ya maziwa ni bei gani?

    Mabuki hapa lita 1 ya maziwa ni 1000/=
  10. linous

    Unafanya nini ili usifilisike na usipotee kwenye ramani? Nafsi yangu inangia huzuni na hofu nikikutana na waliofilisika

    Sijui ndio kuishiwa au kufilisika,mwaka 2016 nilipata hela ya pamoja kiasi cha 18M, hapo sina majukumu yoyote yale plus ujana ,Daaah ile hela ndani ya miaka 2 sikua na hata mia😂😂😂😂.....Baada ya hapo niliishi maisha magumu sana sitokuja kusahau.....ila namshukuru sana Mungu
  11. linous

    Copa America 2024 in USA

    Nimejitahidi kukesha hadi mida hii alafu mechi siwezi kuiona,daaah
  12. linous

    Copa America 2024 in USA

    Hawa dstv ni watu wa ajabu sana
  13. linous

    Kwa mtaji wa milioni 12, nifungue hardware, nafaka au phone and accessories?

    Kuna vitu vya msingi unaweza kuanza navyo...9M inafaa kabisa kwa kuanzia ila uwe wilayani.
Back
Top Bottom