"Na Iryn alianza kuondoka na mimi nilimshika mkono nikamvuta kwangu nikamkumbatia, na palepale alinivuta tukaanza kunyonyana mate, ni gari iliyotuharibia pozi muda huu maana ilitumulika na ilikuwa ikija usawa wetu.
Iryn hakuongea chochote bali aliondoka kwa haraka na mimi niliingia kwenye gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.