Huo mchakato wauache tu, maana viongozi wengi hawaishi maisha manyoofu wanapokuwa wanatawala.
Wakati mwingine hawatendi haki na matendo mengine mabaya ambayo hatuyaoni sisi wanaotutawala. Sisi huwa tunaangalia ya nje tu lakini MUNGU anakusanya data zetu za kila siku mpaka unapokufa.
Sasa kama...
Ndiyo, hakuna uwazi ndiyo maana amesema hivyo na mfumo wote wa mambo yanavyofanywa anajua sana. Ndiyo maana ameuanika ukweli. Wajisahihishe wasione aibu Kenya wameonesha mfano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.