Kuna chanel huwa sipend ata kwa king'amuz changu sitaki ziwepo ikiwemo
1.TBC ambayo inaacha kuwa tv ya kwanza kuangalia matatizo ya wananchi wao wanatuwekea vipindi vya cherekochereko ilhali vijini watu wanakufa na kutaaabika kwa kukosa maji safi na salama....sijaona umuhimu wa marepota wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.