Recent content by Limbwambwache Nkutiuli

  1. L

    Sababu tano(5) kwanini unapata pesa lakini huna maendeleo

    Asante mkuu,mungu akubariki na akupe afya njema daima, wewe na familia yako.
  2. L

    Habari kuhusu Rais Dr. John Magufuli na Prof John Thornton ya Dar na London zimetofautina kwanini?

    Oya unatupotosha bhanaa,nachojua waliokubali kulipa ni BARRICK ambao ndo wenye hisa ya 64%na inayobakia ndiyo ya ACACIA na Makampuni Mengine.Hii inamaana ya kwamba waliotaka suluhu ni wale Mabosi wa ACACIA. Pia ACACIA hawa walikuwa wanachukua mzigo wanawapelekea jamaa halafu ACACIA wenyewe pia...
  3. L

    Mbowe na CHADEMA msipotoshe wananchi, ili nchi ijitegemee lazima wananchi walipe kodi

    Serikali isiyokusanya kodi ni sifa kuu ya serikali Corrupt. Mmevurugwa na upotoshaji wenu bro.Na kwa Namba ya JPM anasemaga ukijifanya kumshauri ndo umepoteza kabisaa.
  4. L

    Wabunge wa Upinzani walipuka bungeni, waimba wana imani na Mkapa, Kikwete

    Hujawaelewa Wapinzani kuimba wanaimani na hao Ma Former Presidents.Hukumbuki Kwenye NEC waliimbiwaga wakati wanachenjuliwa miaka hiyo Mkuu.Pia Ma CCM ya Mikoani na Ma Wilayani Waliwaimbia sanaaa halafu Mwishowe Madudu.So that wapinzani wameimba wakikashifu.Fuatilia utapata maana yao...
  5. L

    Hivi kutolewa bikra mpaka damu itoke?

    Na zile zinazotolewa wakati wanaendesha Baiskeli pia hutokwa damu?
  6. L

    Ukilewa sifa sana mwishowe unaanza kuropoka mambo yasiyo na mantiki kabisa

    I'm remembering on Ney wamitego the Artist.Siasa inafunika Muziiki,Viongozi Wanashindana Kukiiki,wanagombea funbase wauze kwenye Gazeti.
  7. L

    Katika amri 10 za Mungu sidhani kama hizi 3 aliziweka yeye bali ni viherehere vyetu tu sisi Wakristo

    Nabii Mussa alizileta amri hizi kumi,pia bro acha kucheza na mifumo ambayo haileti vita siyo poaa.
  8. L

    Serengeti Boys, kichwa cha mwendawazimu kilichopo Sober House kwa muda

    Upo Msumbiji tu hapo unaanza zarau,siku ukifika na Malawi kule alikotoka Mamaako si ndo utatembelea Mikono ili uonekane ni wa tofauti.Timu inafanya,vp unaweza kwenda kunya stand?
  9. L

    Hatimae Pedeshee Ndama akiri kutakatisha fedha

    Serikali kutengeza Noti Mpya halafu inatumika na Noti ya Zamani inaendelea kutumika kwa zaidi ya Miezi sita na kutokea nchi kutumia Noti Mbili za thamani sawa kwa Machapisho tofauti na kupitiliza miaka ikiwa hivyoo.
  10. L

    Makamu wa Rais kweli umeshindwa kutambua uwepo wa Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa?

    Wewe Mfia chama sikilizaa,huyu tunamfahamu ni Fisadi,Mnyonyaji mkubwa na wewe hajawahi kukugawia kitu.Alileta vocha huyo za karatasi hakulipa kodi hata nukta wewe unaleta utetezi wako hapa.Kumbuka Nyerere alisema nini kuhusu huyo pale ICC.
  11. L

    Makamu wa Rais kweli umeshindwa kutambua uwepo wa Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa?

    Acheni kuzingua,waziri mkuu mstafu wa wapi wakati aliacha kazi baada ya kushtukiwa Wizi wao!Hivi mbona mnakumbatia vitu vya ajabu na kuacha kuwa wakweli?Amestaafu lini sasaa.Aaaah figisu hizo Mfia chama wewee
Back
Top Bottom