Kama kweli unamaanisha na unalengo la kumuoa mwambie ukweli wako usimpigie simu ila ongea nae ana kwa ana funguka kila kitu wanaume tumeumbwa kutoshindwa swala la kuchomoa hilo litategemeana na maelezo yako kwake na yeye atakuelewaje
Uliwahi kusikiliza kipindi chake cha njia panda kama hukusikiliza ungejipa mda kumsikiliza huenda ungeelewa mnakosea kuongelea kitu bila kukisìiliza vizuri
Bas Issa n mtu tofauti kabisa Na usimlinganishe huyo issa n Mwanapekee wa Mungu Yesu kristo kwa mujibu wa Injili ambayo unaiamin amezaliwa bethlehem Pangon
Jesus na Issa sio mtu mmoja Yesu alizaliwa Bethlehem pangon akasulubiwa akafa akazikwa siku ya Tatu akafufuka lakin issa hakuzaliwa bethlehem n hakufufuka kwa mujib wa Qur'an
Huijui kome n hujui chanzo n moto n sehemu iliyoungua n sehem tu ya kisiwa ambapo n makazi ya wavuvi n nihifadhi hawaruhusiwi kujenga nyumba za kudum hivyo kabla hujashauri lijue vizuri eneo husika
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.