Recent content by limbeli

  1. limbeli

    Je, Amina atakubali kutoa penzi..?

    Kama kweli unamaanisha na unalengo la kumuoa mwambie ukweli wako usimpigie simu ila ongea nae ana kwa ana funguka kila kitu wanaume tumeumbwa kutoshindwa swala la kuchomoa hilo litategemeana na maelezo yako kwake na yeye atakuelewaje
  2. limbeli

    Huyo Kipemba anaechangishiwa Tsh 100 milioni ni nani?

    Uliwahi kusikiliza kipindi chake cha njia panda kama hukusikiliza ungejipa mda kumsikiliza huenda ungeelewa mnakosea kuongelea kitu bila kukisìiliza vizuri
  3. limbeli

    Msaada wa join instruction ya Chamwino sekondarI Dodoma

    Haifunguki kaka nimejarib zaidi ya mara 10 labda kama una link nisaidie
  4. limbeli

    Msaada wa join instruction ya Chamwino sekondarI Dodoma

    Mwanangu amechaguliwa shule ya sekondary Chamwino Dodoma kidato cha tano naomba kupata msaada wa join instruction ya shule hiyo.
  5. limbeli

    Msikiti uliopewa Jina la Yesu

    Soma maandiko matakatifu acha kukalilishwa vitu visivyokuwepo
  6. limbeli

    Msikiti uliopewa Jina la Yesu

    Sio kweli siishi kwa kusimuliwa bali kwa kusoma Biblia Takatifu kubali tu kuwa Issa sio Yesu n msimfananishe hawafanani
  7. limbeli

    Msikiti uliopewa Jina la Yesu

    Bas Issa n mtu tofauti kabisa Na usimlinganishe huyo issa n Mwanapekee wa Mungu Yesu kristo kwa mujibu wa Injili ambayo unaiamin amezaliwa bethlehem Pangon
  8. limbeli

    Msikiti uliopewa Jina la Yesu

    Hujajib swali kama Yesu na Issa n mtu mmoja Yesu alibatizwa mto Yordan n Yohane ndie aliembatiza je Issa alibatizwa wapi
  9. limbeli

    Msikiti uliopewa Jina la Yesu

    Nioneshe aya inayosema issa alizaliwa sehem gan n mji upi
  10. limbeli

    Msikiti uliopewa Jina la Yesu

    Jesus na Issa sio mtu mmoja Yesu alizaliwa Bethlehem pangon akasulubiwa akafa akazikwa siku ya Tatu akafufuka lakin issa hakuzaliwa bethlehem n hakufufuka kwa mujib wa Qur'an
  11. limbeli

    Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

    [emoji23][emoji23][emoji23]kaamua kufuga tushetan
  12. limbeli

    Kisiwa cha Kome Mkoani Mwanza chateketea kwa moto usiku wa leo

    Huijui kome n hujui chanzo n moto n sehemu iliyoungua n sehem tu ya kisiwa ambapo n makazi ya wavuvi n nihifadhi hawaruhusiwi kujenga nyumba za kudum hivyo kabla hujashauri lijue vizuri eneo husika Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom