Recent content by lilondo

  1. L

    She wants to Abort..!!!?

    Sheria ya makosa ya jinai sura 16 inakataza utoaji mimba. Ni kosa la jinai kwa mwanamke mwenye mimba kutaka kutoa mimba; pia ni kosa la jianai kwa daktari au mtu yeyote anayetaka kusaidia au anayesaidia kutoa mimba. hivyo njia sahihi kama unataka huyo mwanamke asitoe mimba ni kwenda kuripoti...
  2. L

    HLRC kuiburuza serikali mahakamani kuhusu NSSF

    Hii mifuko inatoa mafao mbalimbali mojawapo likiwa fao la kujitoa ambalo ndilo linalolalamikiwa. katka hili, mwanachama anaruhusiwa kuchukua michango yake aliyochangia wakati wote wa uanachama wake. Hii dhana inatokana na dhana nzima ya hifadhi (social security) mfanya mtu aweze kumudu maisha...
  3. L

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    ndo kawaida yao kutojiamini.
Back
Top Bottom