nmekuelewa sana kaka nashukuru sana bro, kuna watu wengine badala ya kumjibu mtu kutokana na alivyo elewa anaanza kukejeli wakati n error za kawaida hta github na stack overflow watu wengi wana uliza, na ndo maana sisi Tanzania kwenye mambo ya tech tuna feli sana watu wanajifanya wajuaji sana...
Mimi nahitaji kutengeneza app kwa kutumia react native kwenye visual studio nimesha set kila kitu kwaajli Ku code,, lakini kila Niki run react-native run-android kuna errors znatokea nmepambana xana kwakutumia mpaka Google lkn bdo cja fanikiwa, naomba kama kuna mtu anaweza nipo Dar nije...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.