vanus
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 1,145
- 2,832
Kuna manzi yangu nilidukua sms zake za whatsapp kwamba akitumiwa au akituma chochote naona kwenye simu yangu nilidownload whatsapp web.
Bana leo nimetulia nae getto kwake nikapiga show akawa ananidekea dekea drama za kutosha.
Nikaingia whatsapp web kuangalia nin kinaendelea nakuta kamtumia danga lake picha ya nyuchi.
Daah nilichoka nikameza mate wala hata sijamwambia, nikajipa moyo kwamba kiherehere changu kimeniponza na nimefuta hiyo application, sitaki tena
Bana leo nimetulia nae getto kwake nikapiga show akawa ananidekea dekea drama za kutosha.
Nikaingia whatsapp web kuangalia nin kinaendelea nakuta kamtumia danga lake picha ya nyuchi.
Daah nilichoka nikameza mate wala hata sijamwambia, nikajipa moyo kwamba kiherehere changu kimeniponza na nimefuta hiyo application, sitaki tena