Hakuna mwalimu anayesoma saikolojia ya mtoto aliyebalehe pekee....kwan lazima ujifunze hatua zote za makuzi tena tangu mimba inatungwa.....hoja simbuzi hii
Mmmmmh kakobe yuko sahihi!!huku ni kujitoa ufahamu tuuu hayuko sahihi aza waize wewe ni mkimbizi huna uchungu na Nchi hii......haiwezekani kakosea sana kakobe
Me naona ni sawa tu maana hakuna kikubwa mbele muumba zaidi ya yy....Juzi nlikuwa Dodoma mbona barabara ya udom pale ukumbi wa convention karibu na uhasibu barabara ilifungwa kwa zaidi ya saa tano kwa ajili ya mkutano wa chama fulan?kikibwa ni kuvumiliana.....mambo mengine yaende siyo kila kitu...
Unaanzaje kutetea majambazi/magaidi ili iweje?yaani kwako wewe umeona la hao majambawazi tuuuu....ngoja wakomeshwe maana wanesumbua sana nchini kwa kuua....rejea stakishari,kibiti,....aseee acha wapewe haki yao....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.