Rais Magufuli anajisikiaje anapoona Wabunge wa Upinzani wakiteseka?

Raha ndani ya nafsi yake. Nahisi angeweza angewapa cha moto hata wananchi wa majimbo yao.
 
Nimekaa nimefikiri, nimewaza na kutafakari sana...!!!
Kwamba Rais wetu mpendwa John Joseph Pombe Magufuli huwa anajisikiaje anapoona na kusikia ViongozI na hasa Wabunge wa upinzani wanaoteseka kwenye jela, mahabusu na mahospitalini..!!L

Mpaka sasa kuna Wabunge 2 wako mahabusu, 1 mmoja yuko Hosptali Nairobi akiendelea na matibabu mwezi wa 3 sasa...!!!Mbunge wa A Town Mhe.Lema alisota mahabusu miezi 4 na ushei....Lijualikali akapigwa mvua ya miezi 6..jela. Halima Mdee na Esther Bulaya wamefungiwa kushiriki Bunge mwaka mzima...!!!Lakini Rais mpendwa wa Wanyonge amekaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea....!!!

Makamu wake mama Samia Suluhu angalao juzi kaonyesha moyo wa kumtembelea Lissu huko Nairobi na wiki hii tumesikia Rais mstahafu Ali Alhaj Hassani Mwinyi kafika Nairobi kumwona Lissu bila kujali u-CCM wala u-CHADEMA...!!!

Je, Rais mpendwa wa Watanzania, Rais wa Wanyonge yeye anafikiri nini kuhusu mambo haya???Kuna siku mtu aliyemwachia kiti, Mzee wa msoga Jakaya Mrisho wa Kikwete alisema bila kumung'unya maneno kwamba, ''WAPINZANI SIYO MAADUI''.

Je, Rais wetu mpendwa anajisikije wazee waliomtangulia wanapojaribu kumuasa kijana wao waliyemwachia ofisi lakini wala hatikisiki sanasana anawabeza...kwamba WANAWASHWA...!!

Je, tatizo ni nini kwa Rais wetu mpendwa? Yawezekana ni FRUSTRATIONS alizonazo kama alivyotamka mwenyewe hadharani...?

Haya ni maswali yaliyo ndani ya mioyo ya Watanzania wengi bila kujali itikadi za vyama vyao kwa maana ya pande zote 2 za CCM na Upinzani....!!
Mkuu usiumize kichwa sana mbona ameshamtuma spika wa bunge awashughulikie kule ndani na wakitoka nje yy atadir nao, ndo anadil nao hivyo mkuu
 
Ili upate maendeleo lazima mbegu moja ife ili mbegu mpya izaliwe.ref max

Unajua nyinyi watu ni matahira?

Hivi unafikiri maendeleo yanaletwa na watu au na serikali? Kwa mawazo yako, majiji ya Marekani yamejengwa na serikali yao siyo? Na Johanesburg pia imejengwa na serikali ya Zuma na Botha. Hata jiji la Dar ni ujenzi wa Serikali tukufu?
 
Hao waliopo mahabusu ni wahalifu kama wahalifu wengine na Katiba yetu haijabagua ni nani anapaswa kushitakiwa na ni yupi hapaswi kushitakiwa isipokuwa Rais peke yake. kama Mbunge anaunguza nyumba hiyo ni jinai kama jinai zingine,unataka Rais atetee wahalifu? Mbunge anafanya fujo Bungeni anachukuliwa adhabu kulingana na Kanuni za Bunge sasa unataka Rais aingilie Mhimili wa Bunge kwa kuwarudisha wahalifu Bungeni kabla ya kumaliza adhabu zao? Mbunge kupigwa risasi kwani alipigwa na Rais au alipigwa na wahalifu sawa na wale waliokuwa wanaua watu kule Rufiji? Tatizo la Wabunge wengi wa Upinzani ni wavuta BANGI na bangi haiwezi kumuacha mtu salama bali anajikuta anafanya maamuzi yasiyo sahihi na kushindwa kuishi kwa ethics za uongozi..!!


Wewe una amini wabunge wenye "ethics" ni wale waliopo CCM tu, ambao wamefunga midomo yao kwa kumuogopa rais ambaye ndio mwenyekiti wa chama chao??
 
Mtoa mada.
Umezungumza maneno mazito yenye Hekima na Busara tele kwe kauli yako.
Maneno yako yanahitaji tafakari na subira ya kutosha kuweza kuelewa.
Hapa nyumbani kwangu mimi nina vijana naishi nao, wengine watoto wangu, wengine watoto wa nduguzangu, wengine ni wafanyakazi wangu, wengine nawalea tu na sio jamaa zangu wa karibu.
Hawa vijana wanatofautiana tabia, wengine wapole wengine watukutu kiasi kwamba wanahitaji bisara ili kuendelea kuishi nao.
Lakini yote kwa yote wote wananitegemea mimi kama mlezi wao.
Wananitegemea katika kutatua na kupata ufumbuzi wa shida zao karibu zote.
Mahitaji ya chakula na mavazi pia wananitegemea mimi kwakuwa mimi ndiye mwenye nyumba na mamlaka hapa nyumbani.
Ni wajibu wangu kuwahudumia na kuwalea ili wakue kama mimi nilivyolelewa huko nyuma pamoja na ukweli kuwa sikuwa na tabia za kumridhisha mlezi wangu.
Ni busara sasa tuanze kufikiri kutimiza majukumu yetu kama walezi badala ya kuangalia makosa ya wanaotutegemea na kulipiza kisasi.
Tujue kuwa yote yatapita lakini Tumaini, Imani na Upendo Vitadumu Milele.
Maisha ni Upendo.
 
Labda ndio wapiga dili na mafisadi aliotupa ahadi atawashughulikia vilivyo!
tuone basi mtu akifungwa haki gani mtu nakaa rumande miaka miwili , mwaka mmoja, niuonezi mtupu hatujaona hata fisadi anafungwa, labda lulu ndiyo fisadi, naye kafungwa kwa sababu mchanga kamuua msukuma bahati mbaya
 
Mashetani wenye maumbile ya binadamu ndivyo walivyo. Huwa wana chuki za kutisha, visasi na roho mbaya. Kwao wao kutoa uhai wa binadamu ni jambo dogo sana.
 
RAIS VEEP ANGALI WAKO CHINI YA MAHAKAMA .....AU SIJAELEWA UZURI...KILA HOJA JPM HATA ISSUE ZA KIMAHAKAMA JAMANI MWACHENI MKUU AFANYE KAZI ZA NCHI ...
 
Hahaha hapa ndipo chadema mnaniachaga hoi, hua mnamtukana Magufuli wee alafu baadae mnahitaji msaaada wake tena hahaha pambaneni na hali zenu mliambiwa Magufuli ni mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni mpaka adili na mambo yenu??

Nyumbu ni Nyumbu tu
 
Nimekaa nimefikiri, nimewaza na kutafakari sana...!!!
Kwamba Rais wetu mpendwa John Joseph Pombe Magufuli huwa anajisikiaje anapoona na kusikia ViongozI na hasa Wabunge wa upinzani wanaoteseka kwenye jela, mahabusu na mahospitalini..!!L

Mpaka sasa kuna Wabunge 2 wako mahabusu, 1 mmoja yuko Hosptali Nairobi akiendelea na matibabu mwezi wa 3 sasa...!!!Mbunge wa A Town Mhe.Lema alisota mahabusu miezi 4 na ushei....Lijualikali akapigwa mvua ya miezi 6..jela. Halima Mdee na Esther Bulaya wamefungiwa kushiriki Bunge mwaka mzima...!!!Lakini Rais mpendwa wa Wanyonge amekaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea....!!!

Makamu wake mama Samia Suluhu angalao juzi kaonyesha moyo wa kumtembelea Lissu huko Nairobi na wiki hii tumesikia Rais mstahafu Ali Alhaj Hassani Mwinyi kafika Nairobi kumwona Lissu bila kujali u-CCM wala u-CHADEMA...!!!

Je, Rais mpendwa wa Watanzania, Rais wa Wanyonge yeye anafikiri nini kuhusu mambo haya???Kuna siku mtu aliyemwachia kiti, Mzee wa msoga Jakaya Mrisho wa Kikwete alisema bila kumung'unya maneno kwamba, ''WAPINZANI SIYO MAADUI''.

Je, Rais wetu mpendwa anajisikije wazee waliomtangulia wanapojaribu kumuasa kijana wao waliyemwachia ofisi lakini wala hatikisiki sanasana anawabeza...kwamba WANAWASHWA...!!

Je, tatizo ni nini kwa Rais wetu mpendwa? Yawezekana ni FRUSTRATIONS alizonazo kama alivyotamka mwenyewe hadharani...?

Haya ni maswali yaliyo ndani ya mioyo ya Watanzania wengi bila kujali itikadi za vyama vyao kwa maana ya pande zote 2 za CCM na Upinzani....!!


Mh. rais ana kazi kubwa ya kufanya, yeye si kama Kikwete aliyekuwa anasafiri tu bila hata sababu kwa hela za madafu yetu huku nchi ikimshinda.
 
His soul is filled with cold darkness.

He no longer feels the warmth of true love.

The blood he's spilled shall haunt him for the rest of his miserable life.
 
Hao waliopo mahabusu ni wahalifu kama wahalifu wengine na Katiba yetu haijabagua ni nani anapaswa kushitakiwa na ni yupi hapaswi kushitakiwa isipokuwa Rais peke yake. kama Mbunge anaunguza nyumba hiyo ni jinai kama jinai zingine,unataka Rais atetee wahalifu? Mbunge anafanya fujo Bungeni anachukuliwa adhabu kulingana na Kanuni za Bunge sasa unataka Rais aingilie Mhimili wa Bunge kwa kuwarudisha wahalifu Bungeni kabla ya kumaliza adhabu zao? Mbunge kupigwa risasi kwani alipigwa na Rais au alipigwa na wahalifu sawa na wale waliokuwa wanaua watu kule Rufiji? Tatizo la Wabunge wengi wa Upinzani ni wavuta BANGI na bangi haiwezi kumuacha mtu salama bali anajikuta anafanya maamuzi yasiyo sahihi na kushindwa kuishi kwa ethics za uongozi..!!
Wakati unayasema hayo, ujue kuwa binadam haoni moyo wa binadamu mwenzie ila Mwenyezi Mungu huona kilichopo ndani ya moyo wa binadamu.

Usiogope binadamu mwenzio, muogope Mungu!
 
Hao waliopo mahabusu ni wahalifu kama wahalifu wengine na Katiba yetu haijabagua ni nani anapaswa kushitakiwa na ni yupi hapaswi kushitakiwa isipokuwa Rais peke yake. kama Mbunge anaunguza nyumba hiyo ni jinai kama jinai zingine,unataka Rais atetee wahalifu? Mbunge anafanya fujo Bungeni anachukuliwa adhabu kulingana na Kanuni za Bunge sasa unataka Rais aingilie Mhimili wa Bunge kwa kuwarudisha wahalifu Bungeni kabla ya kumaliza adhabu zao? Mbunge kupigwa risasi kwani alipigwa na Rais au alipigwa na wahalifu sawa na wale waliokuwa wanaua watu kule Rufiji? Tatizo la Wabunge wengi wa Upinzani ni wavuta BANGI na bangi haiwezi kumuacha mtu salama bali anajikuta anafanya maamuzi yasiyo sahihi na kushindwa kuishi kwa ethics za uongozi..!!
Mimi nimelikubali sana hili andiko lako,mtoa mada amewaona wabunge na viongozi wa upinzani tu, kasahau kuna wahalifu wengi tu wako jela na wagonjwa wengine wengi wako hospital, kuna maiti nyingi zilikusanywa kule kibiti, atueleze ni Raid ndiyo kasababisha yote haya au na yeye bangi zinamsumbua tu.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom